JK apaa kwenda Paris leo...


Ndugu yangu haya ni mawazo ngando!!!!
 
Inavyoonekana anaenda kupumzika kidogo baada ya kupokea ushauri kutoka kwa RA maana jana alitokota kinoma MR. MIND.
 
mkuu nimehangaika hapa kumtoa mdudu kwenye PC yangu kama 30 seconds hivi ndo nikagundua...... mwacheni mkuu akabadilishe damu, tatizo waTZ siku hizi mnachonga sana, oh "kaenda kubembea", "kaendea kushikana mkono na hasheem". makelele mengiii!!! sa hiv ni mwendo wa kimya kimya tu.. mtakuja kusikia baada ya miaka mitano kwamba mkuu ana toto la kivenezuela... hahaha!!! au siku moja mtapata picha yake yuko kwenye swimming pool na toto la kihindi la miaka 18.. mwendo wa kimya kimya tu..
 

  1. Inatemegea....kama amesindikizwa na Makamu wake basi ni kuwa anaenda nje kwa vile atakuwa amaemuachia nchi vinginevyo kama anaenda Bukoba hahitaji kusindikizwa na kuagana na hao wakuu.
  2. Kama ametumia Gulfstream hiyo ni bomba kwenda nje ila kam ni ile Fokker basi Ntwara
 

Comp:
Mambo ya kubadilisha damu wewe unayajulia wapi? Au ni ushabiki tu ambao ndiyo big problems kwa wengi wetu? Mtu anasikia jambo hata uhakika hana, anakurupuka tu. Leo ukiambiwa uthibitishe hilo unaloongea loudly kiasi hiki utaweza? Nakupa ushauri wa bure tu kwamba Ulimi uliponza kichwa.
 
....baada ya kuongea pumba za jana ..tuko hapa airport ..tunaona JK Anaondoka kwenda nje ya nchi ...anaagana na viongozi wote wakuu pale...sijui kwa nini safari hii kimya kimya......
Siyo pumba ameongea mambo ya msingi sana lakini kwa kuwa wewe unaletanzania mambo ya ushabiki ndiyo
Sababu unatoa hoja ambazo hazina nguvu
 
wadau tunaomba tujuzwe ameenda wapi huyu bwana?
 
Atakuwa anakimbia siku tisa huyo,si anaona zimebaki chache na zinazidi kuyoyoma
 

Weewe ni mjinga tena umetumwa na hao mafisadi kwa sababu hayo unayosenma ni unafiki kwani unajua mabadiliko hayaji hivyo, lazima kutakuwa na kipindi cha mpito has kwa nchi iliyo haribika kama TZ
 
Mwacheni akapumzike jamani nyie hamuoni chadema walivyomshika pabaya?
 
Da kweli hii jama. Napata pressure

Wewe unaye support eti mfa maji,, mbona huna hoja? Mtu yuko kwenye control of the country, anatoa speeches, unasikiliza na kusoma. Huyu ni Rais wa nchi Tanzania, wewe ndiwe unayepata shida, hulali, huli, unachunguza maisha yake kila kona!! Sasa hapo anayetapatapa nani? Wewe, au yeye? Grow up!
 
Mnaonaje tuchangishane tumlipe mshahara wake wote wa miaka mitano na vikolezo vyote ili amuachie nchi Dr?

Ili apate fursa ya kutesa Zaidi bila kero.
Maana sasa bado Huenda akavunja rekodi kuwa rais wa1 kwenda MWEZINI ngojeni ataweka heshima!
 
Wala haihitaji kumlinganisha JK na Slaa au CHADEMA na CCM ni wazi kuwa mambo ni magumu sana kwa Watanzania....nyie mnaomtetea wote mnanufaika nae bila kujua kuwa walio wengi hawanufaiki...Na yeye wala hajali wala hatoi kauli za kujali zaidi ya kulalamika...ziko wapi ahadi zake 97 ikiwemo ya kuigeuza Kigoma kuwa zaidi ya Dubai?
 
Ndugu yangu haya ni mawazo ngando!!!!

Ni mgando kweli!!!!!!! Hivi Kikwete na safari zake ni lini ambapo tumeongezewa misaada kwa sababu yeye anasafiri nje???? Mbona kila mwaka bajeti ya wafadhili inahuka? Mbona pamoja na hayo madini kuchimbwa na wawekezaji, fedha hazionekani? Some of us have to stop thinking like robots and say what we believe to be for the best interest of Tanzania. Kikwete anaenda safari za kukuza biashara zake binafsi.
 
Mwanae yuko Nje ya Nchi; Labda wananunua Nyumba au Biashara nje ya Nchi...

Wakumbuke Ghadaffi zote zitapatikana Even Moubarak zimeshikwa na kujipendekeza kwake
 
5th EITI Global conference Paris 2-3 March 2011 : Extractive industries transparency initiative http://eiti.org/paris2011/programme/speakers

Thursday 3 March
PLENARY 3: THE FUTURE OF THE EITI AND REVENUE TRANSPARENCY
Chair: Clare Short, Chair-candidate, Extractive Industries Transparency Initiative

HE Jakaya Kikwete, President of Tanzania

HE Armando Guebuza, President of the Republic of Mozambique

HE Hussain al-Shahristani, Deputy Prime Minister, Iraq

Robert Hormats, Under Secretary of State for Economic, Energy and Agricultural Affairs, United States

Nobuo Tanaka, Executive Director, International Energy Agency

Sri Mulyani Indrawati, Managing Director, World Bank

George Soros, Chairman, Open Society Foundations

Keith Skeoch, Chief Executive Officer, Standard Life Investments
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…