Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
....baada ya kuongea pumba za jana ..tuko hapa airport ..tunaona JK Anaondoka kwenda nje ya nchi ...anaagana na viongozi wote wakuu pale...sijui kwa nini safari hii kimya kimya......
....baada ya kuongea pumba za jana ..tuko hapa airport ..tunaona JK Anaondoka kwenda nje ya nchi ...anaagana na viongozi wote wakuu pale...sijui kwa nini safari hii kimya kimya......
Anaenda kumwakilisha waziri wa michezo kwenye mkutano wa mawaziri katika kukuza michezo. afu amewaambia wasaidiz wake wasimpe taarifa zozote za bongo!
mkuu hayo matusi bwana hata kama anakosea walau tumheshimu kuwa ni baba yake riz 1Anaenda kumwakilisha waziri wa michezo kwenye mkutano wa mawaziri katika kukuza michezo. afu amewaambia wasaidiz wake wasimpe taarifa zozote za bongo!