Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 891
Natamani Mh. Dr. Slaa achukue nchi ili awe rais wa kwanza kutosafiri nje ya nchi, awe rais asiyeomba msaada nje ya nchi, asiyekopa, hakutakuwa na rushwa, mahosipitali yote yatajaa dawa na vifaa, shule zitakuwa na madawati bila kuchangisha wafanyabiashara na wananchi, hakutakuwa na wakwepa kodi, machinga hawatalipa kodi na watafanyia umachinga popote wanapotaka hata kama ni katikati ya barabara na airport, kariakoo igeuke taipei, mfumuko wa bei soko la dunia hautaikumba nchi yetu nzuri, madini tutachimba wenyewe bila kutegemea nchi au makampuni ya kilaghai, vijana tutakua huru kuandamana kufurahia au kulaani jambo bila kuhitaji polisi. Polisi na majeshi yatakuwa katika hali nzuri, mabomuu hayatalipuka hata kwa bahati mbaya/ajali, umeme utawafikia watu wote ndani ya miaka mitano nk.
Hivi kwa akili zako unadhani watu wanalalamika Kikwete kusafiri au wanakerwa na uzururaji wake huko nje?Na kwa busara zako unadhani watu hawataki akatembeze bakuli huko nje au wanapinga uzururaji kwa kisingizio cha kusaka misaada ilhali tuna ministers,na ambassadors wanaolipwa kufanya kazi hiyo?Au unadhani watu wanapinga kuomba misaada pale inapohitajika au wanapinga misaada hiyo kuishia kwenye matumizi ya anasa kuzidi ya hao tunaowaomba misaada,leave alone misaada hiyo kuishia mifukoni mwa mafisadi?
Na kwa akili yako unadhani tunamlaumu JK kwa kila tatizo kwa vile tunamwonea au tunamlaumu kwa vile ufumbuzi wa matatizo huo upo lkn aidha hajui kwanini aliomba kuwa rais au yuko madarakani kwa maslahi ya mafisadi?Kwa akili yako finyu inakuingia akilini kuona wanafunzi shule za msingi wanakaa sakafuni,zahanati hazina dawa,mabomba yamekauka maji,nk lakini mbunge anapewa shs milioni tisini (licha ya marupurupu lukuki aliyonayo)?Na ili akili yako finyu ielewe,ni muhimu uzidishe shs 90,000,000xwabunge 323!
Na kwa akili yako yenye uwezo duni wa kufikiri unadhani watu wanamlaumu jk kuhusu milipuko kwa vile wana chuki nae binafsi au wanamlaumu kwa kushindwa kwake kuwawajibisha waliohusika na milipuko ya kwanza Mbagala na hatimaye wazembe haohao wamepelekea milipuko mingine huko Gongo la Mboto,iliyoua watu wengi zaidi ya ktk tukio la awali?
Ufisadi umezaa tatizo kubwa zaidi ya athari zake kiuchumi.Umezaa tatizo la kisaikolojia.Kwa upande mmoja ni watu waliofikia mahala pa kuamini kuwa manyanyaso na makandamizo ya kifisadi dhidi yao ni destiny yao.Kwa upande mwingine ni reproduction ya wazembe wa kufikiri wanaoishi ktk fantasy land in which nao wanajiona mafisadi (fedha kibao,nyumba ndogo lukuki,gari za thamani,mahekalu ya thamani ya kufa mtu,kuimbwa na akina twanga pepeta na kumwaga noti feki kwa wasanii wanaosifia,kuitwa pedejee,na upuuzi mwingine km huo).Hizi wishful thinking za kifisadi zinamsaidia sana kikwete kupata ana army of silly supporters like wewe.
Get a life,sucker!