JK aomba walimu toka Jamaica

raha kweli kuwa na rais wa hivi..yeye anaropoka tu yaani akiona mtu ana ngozi nyeupe anajua huyu mzungu ngoja tuombe kiu tusaidiwe....walimu wote hawa unaenda kuomba walimu nje....,!au walimu wz reggae.?
 
yes class, iz evibadi ina di clas?
We gwan learn somting nu today!
..................................
...sd#$%fgdg^yty..
..................................
Whoz gat weed in here, me iz thursty!

:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange:

Jah bless!

Hahahaha, tunaomba mno, kila kitu tunaombaomba tu
cha muhimu sasa naona tumwombe xi jinping atusaidie kuongoza mwaka mmoja tuone kama tunaweza kupiga hatua!
yah! Man.
Kweli tunaomba hata kwa hawa jamaa! Nchi hii ina mambo.
 
Huyu jakaya anaumwa haki ya nani so bure... Anaweza akaomuomba hadi matonya
hivi kwanini asiende venezuela akatuombee waje mashori wakali wa kule aiseee......yaani utakuwa kafanya bonge la uwekezaji tutamkumbuka daima......
women_venezuelan.jpg
 
yah! Man.
Kweli tunaomba hata kwa hawa jamaa! Nchi hii ina mambo.

Umeona Mkuu, kweli sis tumechoka, tunaomba mpaka kwa Jamaica!!..yaani huyo mama alimuuliza JK "Nikusaidie nini"?..madharau!
 
Ameshindwa kuwalipa waalimu wa hapa nchini hao wa kutoka Jamaica watafundisha bure? Tatizo sio kukosa walimu wa kufundisha hayo masomo tatizo ni huyo Kawambwa wake ameshindwa kuongoza wizara na bado anamg'ang'ania aendelee kuwa waziri!!! Kama anampenda sana basi ampe umeneja wa estate yake huko kwao Msoga kuliko kutuharibia nchi.

Watanzania bana, majungu haya tumejifunza kipindi gan cha utawala ,awamu y 1,2,3,4? ...kila mtu anajifanya kujua, analaumu, anarekebisha kila kitu, maprofesa wanakandiana, madokta, wanasiasa, wanafunzi. sikiliza ma-laymen wanahojiwa kwenye tvs they know everything, kila mtu kupinga kulalama, waingereza nao wako hivi, labda ndo walioturithisha kulialia!
 
Huwezi kuwa na akili timamu ukaomba waalimu wa hisabati na sayansi kutoka Jamaica. Ninawajua watanzania kadhaa waliokuwa wanafundisha masomo hayo huko Jamaica wakahamia Canada; ukweli ni kuwa Jamaica haina wataalamu hao. Binafsi nimeshafundisha vijana wengi wa kutoka Jamaica ninajua vizuri background zao. Kwa hiyo nadhani mzee alikuwa anatania au akili ilikuwa imesimama kidogo kulingana na lililokuwa machoni mwake wakati huo.
 
Ananikumbusha zile tabia za utotoni za kuomba kila kitu! Inafika kipindi mtu anachukua glasi unaomba ukidhani ni juice, kumbe mwenzako anataka kunywa dawa… hivi kweli anaenda kuomba walimu Jamaica, wat a gwan in dis place?
 
Huwezi kuwa na akili timamu ukaomba waalimu wa hisabati na sayansi kutoka Jamaica. Ninawajua watanzania kadhaa waliokuwa wanafundisha masomo hayo huko Jamaica wakahamia Canada; ukweli ni kuwa Jamaica haina wataalamu hao. Binafsi nimeshafundisha vijana wengi wa kutoka Jamaica ninajua vizuri background zao. Kwa hiyo nadhani mzee alikuwa anatania au akili ilikuwa imesimama kidogo kulingana na lililokuwa machoni mwake wakati huo.

tatizo la huyu akiona mtu mweupe anadhani anajua sana vitu...hovyo sana hii
 
Nitakachosikitika ni pale hao Mwl toka Jamaica atakuwa analipwa mara 4 ya huyu wa Tz ingawa huyu atakuwa nafanya kazi nzuri kuliko huyo mgeni. Yangu macho.

Watasema mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa hawatautangaza.
 
raha kweli kuwa na rais wa hivi..yeye anaropoka tu yaani akiona mtu ana ngozi nyeupe anajua huyu mzungu ngoja tuombe kiu tusaidiwe....walimu wote hawa unaenda kuomba walimu nje....,!au walimu wz reggae.?

mbavu zangu jamani eh eh eh.
 
Long,long time ago endelea hapa http://www.longlongtimeago.com/llta_fables_antgrasshopper.html. While Jamaicans were busy building sound education system and grooming world class athletes Tanzanians under tutelage of ccm were busy mismanaging everything and anything from economy, health, education, natural resources. Its shameful to go begging to country not endowed with as much resources as we. Lets sing on brothers.
 
Kikwete ni bogas, wakati vijana wasomi na wanasayansi wanahangaika kupata ajira yeye anaomba msaada wa wafanyakazi, siamini kama kweli hii habari ni kweli.
 
Back
Top Bottom