JK aomba walimu toka Jamaica

JK aomba walimu toka Jamaica

Hii ni aibu isiyostirika wala kumithilika. Miaka 50 plus baada ya kupata uhuru bado unchi kama nchi imeshindwa kuzalisha walimu wa kutosha kwa ajili ya kufundisha kwenye shule zake? Ni Rais huyuhuyu mwaka 2010 alisema kuwa kufikia 2012 uhaba wa walimu nchini utakuwa historia, leo hii ameenda kuomba Jamaica? Tutafikia mahala tutaanza kuomba hata wanaume kuwatimizia wake zetu


Si kweli. Tanzania walimu wako wengi tu ila hawataki kufanya kazi na serikali kutokana na ukata wanaopata pindi wanapokuwa kwenye shule walizopangiwa. Huko utakuta mwalimu darasani haingii na kama akiingia basi atafanya vioja tu ili mradi watoto washindwe kumwelewa ili waende tuition kwake. Kwa Tanzania, hata kama serikali ingereform mfumo mzima wa elimu hakuna cha maana kitakachopatikana. People are lazy na wamezoea njia za mkato kwa kila kitu wakifanyacho.
 
Huyu ataja omba hata wanaume wa kuzalisha wake zetu...anaombaomba tu
 
Kwa hiyo katika mataifa yote ameona jamaica ndio wanaoweza kutupatia walimu wa Hisabati na Sayansi, sio?
Wanalipwa na nani? Kiasi gani? Kweli katika vyuo vyetu tuna uhaba mkubwa kiasi hicho ama ni kwa kuwa walimu wazuri wanachagua kutofundisha ama kwenda private kutokana na malipo duni na mazingira hovyo ya kazi?

Hapa ndio huwa nachoka kabisa!
 
It hapi nu ting to stay doun in tiz especial in arusha wi bway get biz inna dar is hot like in hot pot slam a gyal 2times mi a get flot das y mi lovu a city weda si doun wi mi bway stackin togeda inna consat mi gi dem fleva mi ana i pon de back.
 
Jamaica tena? Au ndio after effects za kubembea? Hawa jamaa watatufundisha kula ndumu kwa staili mpya wakija!
Hao waalimu wameshafeli hata kabla hawajaanza kazi. uliona wapi nyumba ya tope ikaezekwa vigae. hiki ni kichekesho cha karne. hao waalimu watakuwa frustrated bure haina haja kabisa. halafu kuhusu mwalimu wa riadha . kwanza kikwete atuambie mwalimu wa Riadha toka Kyuba walimtumia hata akawa analalamika kwenye vyombo vya habari. akili ya mbongo finyu anaplan kwa kuangalia matokeo badala ya kuangalia management system
. hapa bongo mambo yameoza kabisa inatakiwa system overhaul from politics to everything yo see pamoja na watu wake . wanahitaji uamsho wa miaka ya 70 wakati tanzania iilipokuwa inaoongoza ktk subsaharan africa kwa viwango vya elimu
 
The bottom line is that we don't have a president, Tanzanians should learn from the past mistakes.... it was a mistake selecting this guy to head the country.

Jamaica? Of all countries! Don't we have experts in the field of science? How many engineers do we have? How many doctors do we have? I'm damn ashamed to call myself a tanzanian under JK's regime. Shame on him, seriously!
 
Bora Mh Rais Angepandisha mshahara kwa walimu wanaofundisha masomo hayo. Tunao walimu wazawa wengi na wazuri, tatizo ni wizara na watendaji wake
 
hivi alivyoendaga Jamaica si ndio alipopiga ile picha ya kubembea!?
ila mimi nadhani hata wakija hawawezi kusaidia lolote bila kubadilisha huu mfumo wa elimu/utawala ulioshindwa kutoa matunda miaka na miaka
 
Hii ni aibu isiyostirika wala kumithilika. Miaka 50 plus baada ya kupata uhuru bado unchi kama nchi imeshindwa kuzalisha walimu wa kutosha kwa ajili ya kufundisha kwenye shule zake? Ni Rais huyuhuyu mwaka 2010 alisema kuwa kufikia 2012 uhaba wa walimu nchini utakuwa historia, leo hii ameenda kuomba Jamaica? Tutafikia mahala tutaanza kuomba hata wanaume kuwatimizia wake zetu

Mpwa Elli kuja pande hii uone !
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na maadili kuna ombi la tatu halijaandikwa nalo ni MBEGU ZA BANGI!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Yes class, iz evibadi ina di clas?
We gwan learn somting nu today!
..................................
...sd#$%fgdg^YTY..
..................................
Whoz gat weed in here, me iz thursty!

:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange:

Jah Bless!

Hahahaha, tunaomba mno, kila kitu tunaombaomba tu
Cha muhimu sasa naona tumwombe Xi Jinping atusaidie kuongoza mwaka mmoja tuone kama tunaweza kupiga hatua!

Hahahaahahahahahha!!!!!!
Jah rastafai,ganja man

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hii ni aibu isiyostirika wala kumithilika. Miaka 50 plus baada ya kupata uhuru bado unchi kama nchi imeshindwa kuzalisha walimu wa kutosha kwa ajili ya kufundisha kwenye shule zake? Ni Rais huyuhuyu mwaka 2010 alisema kuwa kufikia 2012 uhaba wa walimu nchini utakuwa historia, leo hii ameenda kuomba Jamaica? Tutafikia mahala tutaanza kuomba hata wanaume kuwatimizia wake zetu

Yan mkuu unamaanisha tanzania tutakuwa tunakodisha Madume ya MBEGU toka jamaica au?
Duh

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ila kama sikosei hata mkewe alishasemaga ile shule yake sijui ataleta walimu toka nje!so inawezekana ni wazo la familia

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mpwa Elli kuja pande hii uone !
Maajabu hayaishi kabisa nchi hii, mitaala yetu ni tofauti kabisa na ya kwao, vision zao na za kwetu ni tofauti, philisophy yao juu ya elimu na ya kwetu ni tofauti, sasa hawa watakuja kufanya nini? kufundishja kiingereza? Ndio ajira anazo create kwetu hizi? No No JK anahitaji maombi kweli nasema huyu Baba wa mwenzetu sasa aombewe.
Au pengine kaiga baada ya kusikia nchi jiranoi wanapelekea Vijana alki moja Korea naye akaona aje na ya kwake Mpya zaid!!!!! Kazi ipo
 
Hao walimu wakifika Tz wataitwa Ma Tx?mshara wao ni huu huu unaolalamikiwa na Walimu wazarendo?ni nani atawalipa mishahara?au itakuwa hv kazi na shule ni Tanzania lakini mshahara ni kwao?je wakivuta ndumu watakamatwa?nawaomba washauri wa Mh Rais wamkumbushe Walimu Wa Riadha wapo jilani hapa kenya na Ethiopia na walimu wa sayansi wapo wengi huko israel na Ulaya mpaka USA misaada bora ni ile watoa msaada wakibeba jukumu
 
Nothing new apo! mbona walimu wa sayansi Tz ni wengi sana ila tatizo ni maslahi duni bila kujari ugumu wa masomo yenyewe mfano mwalimu wa masomo ya sanaa ana vipindi 18 lakini mwalimu wa hesabu vipindi 35++ then mwisho wa siku maslahi sawa nani atakaefanya huo upuuzi ndo maana walimu wengi wa sayansi wameama fani zao hizo...na serikali haijiulizi kwanini kuna lundo la walimu wa masomo ya sanaa ktk vyuo vikuu?
 
Kwa mtu hasiyejua ni kwanini sisi bado ni maskini! It makes a lot of sense!

Rate of unemployement niya kutisha na hili tatizo la waalimu ni la miaka mingi.Kama miaka kumi iliyopita tungeanza kuwa andaa vijana waliomaliza form six leo tungekuwa na waalimu wa kutosha na vilevile ingepunguza tatizo la ajira.
 
Back
Top Bottom