Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi, yote hayawezi kufanywa mara moja kama ufikiriavyo
mara moja? Huu mwaka wa ngapi tangu mafisadi waiteke nchi? Au unadhani mafisad wameiteka Tz leo? Ccm ya matapeli ipo tangu kitambo sasa iyo mara moja ni ipi?