I can't talk about someone lacking people's legitimacy, whenever he appears on TV i tune it off or change the station !!!! Whenver i hear his voice on the radio station i do the same. He is simply not my president !!
kuna picha yake hapa ofisini sijui niichane chane
Lazima umuongelee yeye hakuna ujanja hata kama utakataa ukweli huu, yeye ndio Rais wako, Amiri Jeshi mkuu wako nk, huna mwingine zaidi, kuwa mpole kijana
Lazima umuongelee yeye hakuna ujanja hata kama utakataa ukweli huu, yeye ndio Rais wako, Amiri Jeshi mkuu wako nk, huna mwingine zaidi, kuwa mpole kijana
Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi, yote hayawezi kufanywa mara moja kama ufikiriavyo
Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi, yote hayawezi kufanywa mara moja kama ufikiriavyo
halafu ana kizungu kibaya kabisa.....hata mwanangu blanca anamzidi lol
Wasiwasi wangu ni kwa huyu GeniusBrain mimi nadhani ana mtindio wa ubongo au uelewa wake ni kiduchu mno ,maana mtu aliye sawa hawezi kujibu hivi.Samahani mtu mzima ila unaboa.
Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi, yote hayawezi kufanywa mara moja kama ufikiriavyo
Chana ufungiwe ofisi na wenye nchi yao