Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Zakumi,
It is true. Very true. I witnessed it myself.
People suck.
Zakumi,
It is true. Very true. I witnessed it myself.
You got it!People suck.
Boramaisha,
Asante kwa nyongeza yako. Butiku asingeweza kumwarifu Mkapa juu ya sherehe za Mwalimu Uganda kwa sababu Mkapa alikuwa amekata simu yake. Mkapa tangu alipoingia madarakani alimtenga Butiku kama mtu mwenye ukoma kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe na Ferdinand Ruhinda. Na zile sherehe za Uganda zilifanywa na serikali ya Uganda kwa hiyo kwamba Mkapa hakuarifiwa lawama ni kwa serikali ya Uganda na wala si Butiku.
Zakumi said:Mambo ya foundations tunaiga. Hivyo hazijaota mizizi kwetu ya jinsi ya kuziendeleza. Hivyo mambo mengine yanakuja kwenye mapungufu ya experience za kuendesha taasisi zenyewe.
...na kwa kuwa jk ni mtu wa visasi ..hawezi kumsamehe nyerere kwa hilo...bado anaamini kuwa mwaka 1995...alimshinda mkapa na ni nyerere ndiye aliyemkata ....
Zakumi,
..kuna ukweli ktk hayo uliyoyasema.
..hii foundation irekebishe majukumu yake kwa kuangalia hali halisi.
..sidhani kama hii taasisi inaweza kushughulikia jukumu la kutafuta amani ktk eneo la maziwa makuu.
..hivi kweli hawa watendaji waliobaki wa MNF wanaweza kumuweka kitako mhuni kama Generali Nkunda na akawasikiliza?
..Mwalimu Nyerere hayupo tena kwa hiyo ni vizuri Taasisi nayo ikajipanga upya kuzingatia ukweli huo. ndiyo maana wengine tukapendekeza ianzishwe Presidential library ya Mwalimu Nyerere.
Nimekukubali mkuu, sasa wajipanga vipi kumshawishi kuondoa visasi, au wapendelea aendelee hivyo. Inaelezwa na Vitabu Vitakatifu kuwa ukikaa kimya huku jirani yako anaharibikiwa nawe unajumuishwa kwenye dhambi siku ya hukumu
Kipindi cha uhai wake nadhani Nyerere the man na Mwalimu Nyerere Foundation vilikuwa vitu sawa. Aliitumia Foundation ku-channel energies zake. Hivyo mission statements za foundation zilikuwa zinatokana na personality yake.
Kwa sasa hayupo. Hivyo haiwezekani kutumia personality kuendesha taasisi yenye kubeba jina lake. Lakini inaonyesha kuwa bado kuna watu wanaotaka kutumia personality ya mwalim kuendesha MNF.
Kwa maoni yangu binafsi Library na foundation zinaweza ku-exist kwa pamoja. Kinachotakiwa tu ni mission statement na uwezo wa waanzishaji kuendesha vyombo hivyo bila kutegemea serikali.