Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Nyani yaani umenifanya nicheke hadi machozi...
sasa nyinyi mnavyonishangaa mimi ninavyoshangaa, najikuta nazidi nawashangaa!!
Mkandara, tulichoshuhudia ndio kinachoitwa mazingaombwe ya Prof. Ndumba Nangae, goli kama la Maradona ndiyo hilo linaingia pole pole. Ndio maana nikashangaa watu wameamka kufurahia "Kikwete afanya Kweli".. n.k
sasa nyinyi mnavyonishangaa mimi ninavyoshangaa, najikuta nazidi nawashangaa!!
Mkandara, tulichoshuhudia ndio kinachoitwa mazingaombwe ya Prof. Ndumba Nangae, goli kama la Maradona ndiyo hilo linaingia pole pole. Ndio maana nikashangaa watu wameamka kufurahia "Kikwete afanya Kweli".. n.k