JK ampa shavu Anna Abdallah

Kati ya Vingunge wa Magamba walioifikisha kaburini mikoa ya kusini hasa Lindi na Mtwara huyu Mama yumo. Nguvu yake ndani ya Chama cha Magamba ameielekeza ktk kuweka wabunge maboya majimbo ya kusini hasa majimbo ya Nanyumbu, Masasi na jimboni kwake Lulindi kwa maslahi ya chama chake badala ya maslahi ya wananchi. Majibu mnayo wenyewe Dastan Mkapa (nanyumbu) Bi Kasembe (masasi) Jerome Bwanausi (lulindi) alihakikisha anatumia ushawishi wake kuwapitisha hawa kwakuwa tu ni vibaraka wa chama na kuacha vijana wengine ndani ya chama ambao wanakubalika na wananchi wa majimbo haya tena bila kujali itikadi ya vyama. Mwaka 2005 kwa kushirikiana na mh. Ben waliweka kioja cha karne kwa kupitisha boya lile Suleiman Kunchaya kilichotokea ni aibu kwao na hadi leo hakuna aliyetayari hata kukumbuka kwa jinsi Kunchaya alivyokuwa mzigo kwa wakazi wa jimbo la Lulindi kwa kipindi chote cha miaka mitano alichokuwa mbunge. Kwa majimbo ya Masasi na Nanyumbu hali kadhalika Bibi huyu anayatia mkono atakavyo tena bila chembe ya haya wala huruma.
Sina chuki na Bibi huyu na natambua mchango wake japo kwa yale machache. Ila napenda nieleweke hapa kuwa, nguvu aliyonayo Bibi huyu kuanzia ndani ya chama na wakazi wa majimbo hayo niliyotaja na mikoa ya kusini kwa ujumla wake hajaitumia kwa maslahi na ustawi wa wananchi hasa bali kwa maslahi ya chama chake. Na hili lipo wazi hasa kwa wale waliowahi kuhudhuria mikutano yake ya hadhara alipokuwa mbunge wa Lulindi, akiwa huko hasa maeneo ya vijijini ni vitisho na kejeli kwa wale wote wanaojaribu kutofautiana na chama cha magamba na kuagiza washughulikiwe vilivyo kwa hali yoyote. Na kusahau kuwa wapo pia wasio wapenzi wala wanachama wa Magamba wamempigia kura.
Pia Bibi huyu kwa nafasi yake amechangia sana kukandamiza na kudumaza mawazo na fikra za wakaazi wa mikoa ya kusini hasa ktk majimbo hayo tajwa. Huwa anafikia hata kutamka kuwa watu wa kusini hawana asili ya upinzani yani si asili yao!
Huyu Bibi amechoka hana jipya na kwangu binafsi ni zaidi ya janga kwa mikoa ya kusini. Bibi huyu ni kati ya watu wanaojivunia mafanikia ya kuitosa mikoa ya Lindi na Mtwara ktk lindi la ufukara kwaajili ya vyeo vya kupewa kama hivi huku watu wa kusini wakilia na kusaga meno! Mbaya zaidi amefanikiwa pakubwa kupanda 'mfumomagamba' ambao umeshamiri kiasi itawachukua miaka dahari watu wa huko kujikwamua kutoka mfumomagamba. Hatufai na ni janga amechangia kuifilisi mikoa hii hasa KIFIKRA na KIMTAZAMO.
'Anyone with a gun plz!!
 
Kiongozi anatakiwa kuwa mfano wa wale anaowangoza na hasa katika kuheshimu taasisi za nchi zilizopo kisheria. Kikwete anajua wazi kuwa Contoller And Auditor General kwa mara nyingi amekuwa akiandika kwenye ripoti zake kuwa ili kuimalisha utawala bora na kuwajibika vizuri kwa mashirika ya Umma ni vyema wabunge wasijihusishe na usimamizi wa mashirika haya; suala hili limepigiwa kelele sana bungeni lakini inaelekea Rais kamakiongozi ametia pamba masikioni na ameendelea kuwateua wakina Anna Abdalla Mbunge kuwa Mwenyekiti wa bodi ya korosho huku SPIKA wa bunge Anna Makinda nae akiteuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya chai!! Hii ni wazi kuwa Rais sio mfano mzuri kwa mawaziri wake katika kutii kanuni na taratibu zilizokubalika kudumisha utawala bora; ndio maana mawaziri wake kama Maghembe wa kilimo nae anamuiga bila kutumia akili zake kuteua wabunge kwenye mabodi yake with impunity kama vile hajaenda shule na kuthibitisha kuwa mtu mwenye uelewa mdogo.Staili hii ya utawala ya Jakaya ndio inadumaza maendeleo ya nchi na kukuza na kuushamilisha ufisadi. Kama hamtaki kuheshimi ushauri wa CAG kwanini basi mpoteze fedha nyingi za wanannchi kuwa na taasisi kama hiyo? Shame on you.
 
Kati ya Vingunge wa Magamba walioifikisha kaburini mikoa ya kusini hasa Lindi na Mtwara huyu Mama yumo. Nguvu yake ndani ya Chama cha Magamba ameielekeza ktk kuweka wabunge maboya majimbo ya kusini hasa majimbo ya Nanyumbu, Masasi na jimboni kwake Lulindi kwa maslahi ya chama chake badala ya maslahi ya wananchi. Majibu mnayo wenyewe Dastan Mkapa (nanyumbu) Bi Kasembe (masasi) Jerome Bwanausi (lulindi) alihakikisha anatumia ushawishi wake kuwapitisha hawa kwakuwa tu ni vibaraka wa chama na kuacha vijana wengine ndani ya chama ambao wanakubalika na wananchi wa majimbo haya tena bila kujali itikadi ya vyama. Mwaka 2005 kwa kushirikiana na mh. Ben waliweka kioja cha karne kwa kupitisha boya lile Suleiman Kunchaya kilichotokea ni aibu kwao na hadi leo hakuna aliyetayari hata kukumbuka kwa jinsi Kunchaya alivyokuwa mzigo kwa wakazi wa jimbo la Lulindi kwa kipindi chote cha miaka mitano alichokuwa mbunge. Kwa majimbo ya Masasi na Nanyumbu hali kadhalika Bibi huyu anayatia mkono atakavyo tena bila chembe ya haya wala huruma.<br />
Sina chuki na Bibi huyu na natambua mchango wake japo kwa yale machache. Ila napenda nieleweke hapa kuwa, nguvu aliyonayo Bibi huyu kuanzia ndani ya chama na wakazi wa majimbo hayo niliyotaja na mikoa ya kusini kwa ujumla wake hajaitumia kwa maslahi na ustawi wa wananchi hasa bali kwa maslahi ya chama chake. Na hili lipo wazi hasa kwa wale waliowahi kuhudhuria mikutano yake ya hadhara alipokuwa mbunge wa Lulindi, akiwa huko hasa maeneo ya vijijini ni vitisho na kejeli kwa wale wote wanaojaribu kutofautiana na chama cha magamba na kuagiza washughulikiwe vilivyo kwa hali yoyote. Na kusahau kuwa wapo pia wasio wapenzi wala wanachama wa Magamba wamempigia kura.<br />
Pia Bibi huyu kwa nafasi yake amechangia sana kukandamiza na kudumaza mawazo na fikra za wakaazi wa mikoa ya kusini hasa ktk majimbo hayo tajwa. Huwa anafikia hata kutamka kuwa watu wa kusini hawana asili ya upinzani yani si asili yao!<br />
Huyu Bibi amechoka hana jipya na kwangu binafsi ni zaidi ya janga kwa mikoa ya kusini. Bibi huyu ni kati ya watu wanaojivunia mafanikia ya kuitosa mikoa ya Lindi na Mtwara ktk lindi la ufukara kwaajili ya vyeo vya kupewa kama hivi huku watu wa kusini wakilia na kusaga meno! Mbaya zaidi amefanikiwa pakubwa kupanda 'mfumomagamba' ambao umeshamiri kiasi itawachukua miaka dahari watu wa huko kujikwamua kutoka mfumomagamba. Hatufai na ni janga amechangia kuifilisi mikoa hii hasa KIFIKRA na KIMTAZAMO.<br />
'Anyone with a gun plz!!
<br />
<br />
plz here it is and if you are looking for machine gun send a PM to AK 47
 
Sipati picha ya nji hii - Tunastahili yanayokea, tumembebesha rais mzigo wa kutua kila mtu kaitka njii halafu tunalalama- natamani kesho tusimamishe mambo yote tusghulikie katiba mpya usiku na mchana mpaka ikamilike
 
Sijui ni vigezo vipi vimekua vinatumika kumpatia huyo mama madaraka toka awamu ya kwanza ambayo nadhani alikua DC,maana nikimsikiliza anachangia bungeni hoja zake ni nyepesi sana. Siyo aina ya mwanasiasa ama kiongozi unavutiwa naye kutokana na uwezo wake wa kujenga hoja. Pengine wengine wamezaliwa na bahati tu ya kupewa uongozi. Kwamba amewahi kuwa mbunge wa kuchaguliwa,hiyo haishangazi huko anakotokea,kwa miaka hiyo na hata sasa hao jamaa bado wanajua chama ni CCM tu!
 
mnategemea makubwa yoyote toka bodi ya korosho?kashika nyazifa ngapi na tumeona nini?? jamaa ataendelea kufail katika kazi yake na mchawi mkubwa ni kichwa chake na si vinginevyo! tunahitaji watu wenye kujua linaloendelea katika dunia wenye utashi wa kuleta maendeleo ya kweli na si kijinufaisha!tunajua utendaji wake, si lolote!crap!
 
Hivi vibibi kwa nini visistaafu!! Wanawabania nafasi vijana, ambao wamemaliza vyuo vikuu kupata ajira..tangu miaka ya 50 hadi leo vipo kwenye madaraka.

Tuombe Mungu wazeeke haraka ili vijana wachukue nafasi, vinabana sana ajira kwa vijana.
 
Tuombe Mungu wazeeke haraka ili vijana wachukue nafasi, vinabana sana ajira kwa vijana.
<br />
<br />
sema tu kuwa tuombe wafe haraka mana kama kuzeeka wengi wamezeeka lakini bado wanapewa kwa mikataba. Sasa wakifa haraka hakutokua na kauzibe tena.
 
Pius Msekwa mwenyekiti wa bodi NCAA, Anna Abdallah mwenyekiti wa bodi ya korosho. Ni posho za uzeeni kwa kwenda mbele!

Hivi hawa waasisi wa Chama ambao graph yao ya kufikiri ilishafika point of diminish return na sasa inaelekea negative kwa nini wasipumzishwe tu wakapewa resting allowance kuliko kuendelea kupewa vyeo ambavyo sana sana vinaua kabisa taasisi husika. Jamani tusemeni ukweli huyu mama hana jipya zaidi ya uzoefu wa kuongea na kusimama kwenye public baaaasi. Kwa nini hizi kazi wasipewe watu wenye uwezo wa kufikiri ki professional kama rais ana dhamira ya dhati ya kuendeleza zao la korosho. Atasaidia nini kuwakwamua wakulima wa korosho ambao kilio chao hakiishi, ana strategies gani mpya mtu ambaye akili yake ilishachoka kufikiri? Hii tena inadhihirisha rais hajui anachofanya zaidi ya kutaka kuwafurahisha Makomrade.
 
Mama kashapeleka umri lakini bado wamo.
Anna+Abdallah.JPG
Unadhani fisadi Msekwa amekufa bure? Ni kweli bado wamo.
 
Back
Top Bottom