Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 422
Wa TZ turivyo wepesi kusikia, kushabikia, na niwepesi kusahau, tumesahau mambo ya msingi kama, Gesi, katiba, uonevu manyanyaso tunayo yapata kutoka kwa Polis na NK., sasa tunashabikia uhasama wa KGM na JK, utafikili nasisi tutabeba siraha kupigana