JK, ametuhamisha kwenye mambo ya msingi

JK, ametuhamisha kwenye mambo ya msingi

mi niwa A/KUSINI,ngoni harisi

MKAPA alimushindwa URIMWENGU sembuse MKWELE kwa mimi, usiniradhi mishe kuandika MAPOROMOKO ninaandika kinyumbani wasukuma hatuna "r", na ujuekuwa kiswahili kinakua, ila kisukuma hakihitaji maneno ya nyongeza, mf. mwanza, inatamukwa mhw'anza

Mara mngoni, mara msikuma. Mbona hujielewi?

Watanzania wanampenda Rais wao, usifikiri wanapomchallenge maana yake hawampendi - they just want him to push harder everyday, thats it...

Nyinyi na hulka zenu za mauaji endeleeni kuishi mnavtotaka.
 
Wa TZ turivyo wepesi kusikia, kushabikia, na niwepesi kusahau, tumesahau mambo ya msingi kama, Gesi, katiba, uonevu manyanyaso tunayo yapata kutoka kwa Polis na NK., sasa tunashabikia uhasama wa KGM na JK, utafikili nasisi tutabeba siraha kupigana

Wewe mkazi haramu nini inakuuma kuondoka
 
Wewe wa wapi sema wewe ndiye unashabikia hilo swala usiwalishe watu maneno yako,Hakuna mtu anayeshabikia swala la kagame labda wewe na slaa tu.

hivi huwezi kuandika bila kutaja slaa au cdm? au ndo mkataba wako wa buku 7 unasema hivyo? hili swala la rwanda na tanzania linahitaji busara, wala si kuingiza siasa.
 
Back
Top Bottom