Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Wadau, miaka 5 ya kwanza awamu ya Rais Kikwete iko ukingoni. Kila kiongozi hupimwa na mazuri na mabaya yake ili aweze kuaminiwa na kupewa kipindi kingine cha uchaguzi. Viongozi wa Taifa letu tangu uhuru wamekuwa 4 sasa na kila awamu imekuwa na jema la kujivunia ambalo imetuachia.
Rais wa 1, Nyerere: Kaleta Uhuru na katuachia mshikamano na uzalendo ambao sasa unaporomoka
Rais wa 2, Mwinyi: Katuletea soko huria na kutuondoa kwenye upungufu mkubwa wa bidhaa
Rais wa 3, Mkapa: Alisaidia sana kuukuza uchumi wa nchi yetu, kuongeza mapato ya ndani, kurejesha nidhamu ya matumizi ya pesa za umma, kujenga mitandao ya barabara za lami, daraja la Mkapa na Umoja.
Rais wa 4, Kikwete: Ametufanyia nini hadi sasa hivi ambalo angalau twaweza kumwamini kwa awamu nyingine?
Rais wa 1, Nyerere: Kaleta Uhuru na katuachia mshikamano na uzalendo ambao sasa unaporomoka
Rais wa 2, Mwinyi: Katuletea soko huria na kutuondoa kwenye upungufu mkubwa wa bidhaa
Rais wa 3, Mkapa: Alisaidia sana kuukuza uchumi wa nchi yetu, kuongeza mapato ya ndani, kurejesha nidhamu ya matumizi ya pesa za umma, kujenga mitandao ya barabara za lami, daraja la Mkapa na Umoja.
Rais wa 4, Kikwete: Ametufanyia nini hadi sasa hivi ambalo angalau twaweza kumwamini kwa awamu nyingine?