HBawezi kuitisha mkutano na wazee wa Dsm kutokana na kukosekana kwa fisadi mmoja aliyebobea kuwa mwenyekiti wao. Mnakumbuka last time Idi Simba alikuwa mwenyekiti lakini akavurumishwa mahakamani kwa kuwaibia wananchi hela zao.
Kama kweli Rais alitaka kuhutubia Taifa jana na kutuacha tukeshe bure na mwisho kuamkia Rwanda ni dharau kubwa kwa Watanzania kama mipango yake tukeshe ili tusiende kwenye ibaada basi Mungu amlaani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.