Mwaka 2009 JK alifika Mugumu Serengeti,ilikuwa ufunguzi wa Hotel ya Bilila.Kituko cha kwanza kufanya ilikuwa kumfukuza mkuu wa mkoa ambae alihudhuria hafla hiyo as if ilikuwa dhifa ya kitaifa.Akatolewa balu,kwamba akaendelee na majukumu ya kitaifa.
Wangoreme ni kabila dogo mkoani Mara,ila ni kati ya makabila giant wilayani serengeti ukiacha wakurya.Waliposikia kuwa jk anakuja Mugumu wakateua wazee wanane wakaonane nae ili wamweleze matatizo ya mwangoreme.Baada ya kumweleza wakawa na maswali yafuatayo:
1.Katika uteuzi wako wa wakuu wa mikoa na wilaya na nafasi nyingine kitaifa,wangoreme umeamua kututupa(kwa maana ya kwamba hakuna mongoreme hata mmoja aliyeteuliwa),je ni kwasababu hatufai?
2.Tulikuwa na mtu mmoja kutoka Ngoreme aliyekuwa mkuu wa wilaya(ni Dr. Deogratius Mwita-alikuwa mkuu wa wilaya ya Kilombelo enzi za Mkapa),ndiye peke yake katika kabila letu aliyekuwa na wadhifa wa juu.Ulipoingia madarakani badala ya kumpandisha,ukamvua ukuu wa wilaya bila kutupatia mwingine,ni kwanini?
2.Tulikusikia ukikemea habari ya kuchanganya biashara na siasa,je Hotel ya Bilila sio biashara?
Majibu yake kufuatia mpagilo wa maswali ni kama ifuatavyo:
1.Hakuna kabila lisilofaa,isipokuwa nafasi ni chache.
2.Mnishukuru saana kwa kumwondoa mtu yule katika nafasi ya ukuu wa wilaya,ningemuacha wananchi wangemmaliza.Nilipokea malalamiko mengi sana ya kwamba anatembea na wanafunzi wa Sekondari,hivyo kumwondoa ilikuwa ni heshima kwake,kwa serikali na hata kwenu ninyi Wangoreme.
3.Nadhani mngenishukuru kwa kuwekeza Tanzania na hasa Serengeti,kwani vijana wetu watapata ajira.Hii ni bora sana kuliko wale wanaokwenda kuwekeza nje,maana wanajenga uchumi wa mataifa mengine.
Kwakua hoja yangu ilihusu Bilila,je hayo ni majibu sahihi ya swali aliloulizwa?
Na je anaekataa kuwa BILILA si ya JK anaona hayo majibu? na unasemaje?
Wangoreme ni kabila dogo mkoani Mara,ila ni kati ya makabila giant wilayani serengeti ukiacha wakurya.Waliposikia kuwa jk anakuja Mugumu wakateua wazee wanane wakaonane nae ili wamweleze matatizo ya mwangoreme.Baada ya kumweleza wakawa na maswali yafuatayo:
1.Katika uteuzi wako wa wakuu wa mikoa na wilaya na nafasi nyingine kitaifa,wangoreme umeamua kututupa(kwa maana ya kwamba hakuna mongoreme hata mmoja aliyeteuliwa),je ni kwasababu hatufai?
2.Tulikuwa na mtu mmoja kutoka Ngoreme aliyekuwa mkuu wa wilaya(ni Dr. Deogratius Mwita-alikuwa mkuu wa wilaya ya Kilombelo enzi za Mkapa),ndiye peke yake katika kabila letu aliyekuwa na wadhifa wa juu.Ulipoingia madarakani badala ya kumpandisha,ukamvua ukuu wa wilaya bila kutupatia mwingine,ni kwanini?
2.Tulikusikia ukikemea habari ya kuchanganya biashara na siasa,je Hotel ya Bilila sio biashara?
Majibu yake kufuatia mpagilo wa maswali ni kama ifuatavyo:
1.Hakuna kabila lisilofaa,isipokuwa nafasi ni chache.
2.Mnishukuru saana kwa kumwondoa mtu yule katika nafasi ya ukuu wa wilaya,ningemuacha wananchi wangemmaliza.Nilipokea malalamiko mengi sana ya kwamba anatembea na wanafunzi wa Sekondari,hivyo kumwondoa ilikuwa ni heshima kwake,kwa serikali na hata kwenu ninyi Wangoreme.
3.Nadhani mngenishukuru kwa kuwekeza Tanzania na hasa Serengeti,kwani vijana wetu watapata ajira.Hii ni bora sana kuliko wale wanaokwenda kuwekeza nje,maana wanajenga uchumi wa mataifa mengine.
Kwakua hoja yangu ilihusu Bilila,je hayo ni majibu sahihi ya swali aliloulizwa?
Na je anaekataa kuwa BILILA si ya JK anaona hayo majibu? na unasemaje?