CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
MJASIRIMALI WETU ANAMILIKI HII KITU,
Mosena jembe wewe acha kabisa.Nilikuwa namkubali kuliko wanyancha katika kuunda hoja.Wanyancha alikuwamuda mwingi anasemewa na Machencheri.Unamkumbuka?
Yah! but mmoja aligombea ubunge na mwingine udiwani.hivi matogolo na nyambabe wote si cuf?
Singita ndo VIP, JK huwa anapumzika pale.P ale ndo kwa mara ya kwanza nilisika Human Resources Manager analipwa milioni 17 kwa mwezi.amazing!Hii kitu acha Tu niBalaa, kwa Bongo nzima hii inaweza shika namba Mbili baada ya ile ya kule Singita nako Serengeti
Mkuu Mwita Maranya hapo juu waeza dokeza ni makabila/mikoa gani ambayo huzawadiwa sana hivi vyeo visivyo na tija kwa maendeleo ya taifa? (DCs na RCs)
Mwaka 2009 JK alifika Mugumu Serengeti,ilikuwa ufunguzi wa Hotel ya Bilila.Kituko cha kwanza kufanya ilikuwa kumfukuza mkuu wa mkoa ambae alihudhuria hafla hiyo as if ilikuwa dhifa ya kitaifa.Akatolewa balu,kwamba akaendelee na majukumu ya kitaifa.
Wangoreme ni kabila dogo mkoani Mara,ila ni kati ya makabila giant wilayani serengeti ukiacha wakurya.Waliposikia kuwa jk anakuja Mugumu wakateua wazee wanane wakaonane nae ili wamweleze matatizo ya mwangoreme.Baada ya kumweleza wakawa na maswali yafuatayo:
1.Katika uteuzi wako wa wakuu wa mikoa na wilaya na nafasi nyingine kitaifa,wangoreme umeamua kututupa(kwa maana ya kwamba hakuna mongoreme hata mmoja aliyeteuliwa),je ni kwasababu hatufai?
2.Tulikuwa na mtu mmoja kutoka Ngoreme aliyekuwa mkuu wa wilaya(ni Dr. Deogratius Mwita-alikuwa mkuu wa wilaya ya Kilombelo enzi za Mkapa),ndiye peke yake katika kabila letu aliyekuwa na wadhifa wa juu.Ulipoingia madarakani badala ya kumpandisha,ukamvua ukuu wa wilaya bila kutupatia mwingine,ni kwanini?
2.Tulikusikia ukikemea habari ya kuchanganya biashara na siasa,je Hotel ya Bilila sio biashara?
Majibu yake kufuatia mpagilo wa maswali ni kama ifuatavyo:
1.Hakuna kabila lisilofaa,isipokuwa nafasi ni chache.
2.Mnishukuru saana kwa kumwondoa mtu yule katika nafasi ya ukuu wa wilaya,ningemuacha wananchi wangemmaliza.Nilipokea malalamiko mengi sana ya kwamba anatembea na wanafunzi wa Sekondari,hivyo kumwondoa ilikuwa ni heshima kwake,kwa serikali na hata kwenu ninyi Wangoreme.
3.Nadhani mngenishukuru kwa kuwekeza Tanzania na hasa Serengeti,kwani vijana wetu watapata ajira.Hii ni bora sana kuliko wale wanaokwenda kuwekeza nje,maana wanajenga uchumi wa mataifa mengine.
Kwakua hoja yangu ilihusu Bilila,je hayo ni majibu sahihi ya swali aliloulizwa?
Na je anaekataa kuwa BILILA si ya JK anaona hayo majibu? na unasemaje?
Sana,hata mimi alitaka kunipa elfu 80,nikakataa kwa sababu zifuatazo, kwanza sihongeki mimi,maana najua nani anafaa.Pili hata kama ningekuwa nahongeka, I could not be cheap as such. Nikamkatalia,mtu mmoja anaitwa Shaweshi,ni mtendaji kata ya Mbalibali akaniambia niondoke maeneo yale kwakuwa jamaa ni mtu wa visasi anaweza kuni-ulimboka.wanyancha alikuwa anahonga wapiga kura
Singita ndo VIP, JK huwa anapumzika pale.P ale ndo kwa mara ya kwanza nilisika Human Resources Manager analipwa milioni 17 kwa mwezi.amazing!
Naomba nikusahihishe kidogo, mkoa wa Mara ndo mkoa unaoongoza kwa kuwa na makabila mengi sana kuliko mkoa wowote wa Tanzania, mkoa una makabila yafuatayo ambayo ninayakumbuka, kuna Wakurya, Wangoreme, Waikizu, Wanatta, Waisenye, Waikoma, Wajita, Wajaluo. Mbali na hilo kusema ukweli mpaka sasa mimi sijui kitu gani kiliwaroga mpaka wakampa ubunge Dr Kebwe yaani huyu jamaaaa anyway ya Mungu ni mengi sana na riziki hupangwa na Mungu sie wanadamu tutapambana we but at the end of the day Mungu ndo mtoaji wa yoteMungeendelea na Dr Wanyancha saa hii jimbo la Serengeti lingekuwa na waziri kamili. JK alishamkubali huyu jamaa. Sasa huyu Kebhwee....Ah, sijui. Wangoreme punguzeni ukabila, fitna na visasi. Mkoa ule una makabila matatu tu, Wakurya, Wajita na Wajaluo. Dr Wanyancha alipita wakati ule kwa sababu ya kupambana Mongoreme dhaifu sana wakati ule.
Singita ndo VIP, JK huwa anapumzika pale.P ale ndo kwa mara ya kwanza nilisika Human Resources Manager analipwa milioni 17 kwa mwezi.amazing!
Mungeendelea na Dr Wanyancha saa hii jimbo la Serengeti lingekuwa na waziri kamili. JK alishamkubali huyu jamaa. Sasa huyu Kebhwee....Ah, sijui. Wangoreme punguzeni ukabila, fitna na visasi. Mkoa ule una makabila matatu tu, Wakurya, Wajita na Wajaluo. Dr Wanyancha alipita wakati ule kwa sababu ya kupambana Mongoreme dhaifu sana wakati ule.
Mkuu ni kweli Ile ni Mwisho wa Matatizo nazani kwa Africa inaweza kuwa No 1
Bwana shacha,pale wanafanya booking ya vyumba mwezi january tu,hadi tena january.Ukimwona jk anakwenda pale ujue booking alifanyiwa january.Mwaka 2008,kulala pale siku moja ilikuwa 1.5 mil.Sijajua kwa sasa.Cheza weye na jk.Mkuu ni kweli Ile ni Mwisho wa Matatizo nazani kwa Africa inaweza kuwa No 1
Acha chumvi hizo wewe ndugu yangu kwenye lile pori na yule mama HR na ile timu yake ya wanawake wa HR Walivofrustrated ndo kweli analipwa 17 sasa na MD wao atakuwa analipwa sh ngapi.Usiwapeleke mbali hivo, mishahara mizuri wanalipwa makaburu ambao ndo mameneja wa lodges na camp zote waafrica wa pale ni mburula tu hawana lolote ni wa kawaida sana
Hata sielewi hapa tunajadili Ukabila au Bilila hotel inayomilikiwa na JK?
Nimefanyia research pale Mugumu,miongoni mwa maswli yangu kwa watumishi wa serikali na makampuni lilikuwa"unalipwa kiasi gani kama mshahara "Hilo la milioni 17 ndo nilipata kutoka kwa yule mama. Lakini pia wale watu wanaonekana wako njema,wafanyakazi hawajachoka kama kwenye kampuni nyingine.Acha chumvi hizo wewe ndugu yangu kwenye lile pori na yule mama HR na ile timu yake ya wanawake wa HR Walivofrustrated ndo kweli analipwa 17 sasa na MD wao atakuwa analipwa sh ngapi.Usiwapeleke mbali hivo, mishahara mizuri wanalipwa makaburu ambao ndo mameneja wa lodges na camp zote waafrica wa pale ni mburula tu hawana lolote ni wa kawaida sana