JK aliulizwa maswali haya na wazee wa Serengeti,na majibu yake kuhusu BILILA

Rejea kwenye mchango wangu nimesema kuwa "mkoa una makabila yafuatayo ambayo ninayakumbuka. Sasa kwa kuwa umelikumbuka la Wazanaki wewe ongezea humo humo maana mimi sikulikumbuka na mbali na hayo yapo mengi tu nimeyasahau mfano Wanyichoka, Waancholi,Wachira so in short Mara ndo mkoa unaoongoza kwa kuwa na makabila mengi sana kwa hapa Tanzania
Mkuu, kama kuna mtu ataamini hiki ulichoongeza hapa na kukichukua kuwa hayo ni makabila utakuwa umefaulu kumpotosha pakubwa! Kuna 'kabila' na 'koo' Kwenye ile post yako nyingine umesema wajaluo ni kabila moja tu! Halafu hapa unataja 'koo' za kikurya na kuzipa hadhi ya kabila! Ikiwa uko sahihi, basi na wajaluo watakuwa na 'makabila' mengi mno.... maana na wao pia wana koo nyingi mno.
 
Kiongozi usiwe mvivu wa kusoma na kutafakari sijalalama popote ila nimekupa summary ya uasili wa hayo makabila Hawa watu sio wakurya unless unampango wa kudanganya umma wenye akili tutanyamaza kwisha! waIkoma, Wangoreme na waIsenye si wakurya Nenda Sonjo karibu na Loliondo utapata kwa uapana zaidi historia ya haya makabila.

hakuna cha sonjo hawa wote ni wakurya sema wanatofautiana katika wizi wa ng'ombe na mbinu za kivita, waikoma ni mafundi wa kupigana vita ya kienyeji na kukomboa ng'ombe wao wanaoibiwa na aina nyingine ya wakurya, hii ni sawa na kusema kuwa muarabu si myahudi, hawa baba yao ni mmoja waarabu mama yao alikuwa beki tatu mimi huwa nawaita watoto wa house girl, wakati wayahudi ni watoto wa mama mwenye nyumba Sarah, kwa kuwa baba yao ni mmoja basi wote ni wayahudi, sema waarabu wajifanya kama watoto wa nyumba ntobhu, wanafata kabila ya mama yao.
 
Inssue hapa ni nini? Udogo na ubaguzi wa wangoreme au jk na hoteli ya bilila coz hata huyo dr kebwe me ckumchagua nilimchagua mwl ryoba bt akashinda huyo aliyewanywesha wanyamongo maji ya sumu enzi za chacha wangwe yeye dr kebwe akiwa mganga mkuu wa mkoa.
Aliwanywesha?how?Nilisikia sana watu wakimuuliza swali hilo kwenye kampeni.Lakini naomba nikwambie kitu,mimi si muumini sana wa Dr. Kebwe,lakini niseme mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Dr.Kebwe kama mganga mkuu wa mkoa,ni msemaji wa masuala yote maalum ya kitabibu mkoani,mengine kwa utalaam wake,na mengine ya wataalam wenzake.Maji ya mto Tigiti yalipelekwa kupimwa,si Dr.Kebwe anaepima,bali ni mkemia mkuu wa mkoa.Akisha pima,Dr Kebwe kama msemaji wa masuala ya kitabibu anatoa majibu kama yalivyoletwa na mkemia.Sasa wewe ulitaka atoe majibu yake tofauti na yale ya mkemia?Mambo mengine tumwogope Mungu jamani.
 
Back
Top Bottom