JK aita waandishi


sema kiswahili tu utaeleweka mkuu
 
Moyo gani tena mkuu, mbona unatuachia mafumbo?

Moyo wa kusubiria shilingi igeuzwe upande mkiamini itabadilika thamani yake; au moyo wa kuona mtu yule yule kashusha ndoo kisimani karudi na matope halafu anarudisha tena ndoo kwenye kisima hicho hicho na wakati huo huo halafu watu wanasubiria maji safi
 
Wana JF,
Habari za uhakika toka ndani kabisa zinasema kwamba JK ameita mkutano wa waandishi wa habari kesho asubuhi pale Ikulu. Hii ni wazi kwamba baraza la mawaziri litatajwa hapo. Hii ni uhakika kabisa.
Nawasilisha

Sasa kama kawaita waandishi wa habari imekuwaje habari za "ndani kabisa"?
 
Heri mabaraza yaSungusungu au Gacaca yanaonyesha haki kutendeka kuliko mahakama zinazotenda kwa matakwa ya watawala!

Mkuu Anko Sam nadhani hutendi haki kusema kwamba mahakama zinatenda kwa matakwa ya watawala. Inawezakan hilo lipo lakini ukifanya generalization basi unamaanisha kwamba hukumu zote zinazohusu uchaguzi (ndio theme ya hii thread) ambazo zimetolewa hadi leo zimetolewa kwa matakwa ya watawala. Siamini hilo, sijui kama nawe unaamini hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Wana JF,
Habari za uhakika toka ndani kabisa zinasema kwamba JK ameita mkutano wa waandishi wa habari kesho asubuhi pale Ikulu. Hii ni wazi kwamba baraza la mawaziri litatajwa hapo. Hii ni uhakika kabisa.
Nawasilisha

Wana JF

Mie ninavyojua sio kwamba JK kaita waandishi, ila kesho JK ni mgeni rasmi katika siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani iliyoandaliwa na wamiliki wa vyombo vya habari na itafanyoika Serena Hotel. Sidhani kama kweli atakuwa na mkutano mwingine na wanahabari baada ya hapo na sidhani kama anaweza kutangaza mawaziri mbele ya MOTA ya akina Mengi
 
I hate JK more than any other creature in this world.
 
Mawaziri wapya watatangazwa baada ya bunge la june .
 
na mimi nakupa like!

Mkuu wangu nakubaliana na wewe
watu wanadhani sheria za nchi zipo kwa maslahi ya Chadema...wanasahu
kuwa mahakama zinaendeshwa na sheria ambayo ni taaluma sio maneno ya
mitaani.
 
labda watu wana hamu tu ya drama ya "baraza la mawaziri". Naombea JK aendelee kuwaweka watu presha juu hivyo hadi wakome!
 

so mnabalance?
 
Usijali presdee kulala Lushoto. Ana Airforce one huyo. Lushoto to Dar dakika 10 tu.
 
Wana JF,
Habari za uhakika toka ndani kabisa zinasema kwamba JK ameita mkutano wa waandishi wa habari kesho asubuhi pale Ikulu. Hii ni wazi kwamba baraza la mawaziri litatajwa hapo. Hii ni uhakika kabisa.
Nawasilisha

Yaani wewe nchi inadidimia unaita waandishi badala ya kufanya kweli! Hizi pwagu na pwaguzi tumezizoea. He will never stop to amaze us, but his time is coming sooner rather than later.
 
Natamani nimpe ki-"memo" cha orodha ya mawaziri wapya bwana JK, maana nahisi anaweza kufanya makosa kama ya kwanza, bahati mbaya sina namna ya kumpa hiki kimemo, tafadhali sana mfikishieni salamu bwana JK.
 
JK kesha Sepa Kuelekea CANADA Usiku huu! Ala Obama mtajua kesho baada ya yeye kufika na kuondoka
 

Huo ndo ukweli wenyewe...
 
Ni vigumu kwa Lipumba kuingia, kwa sababu si mbunge. Na hata akiteuliwa kuwa mbunge it means Bunge la dharura liitishwe ili aapishwe (ubadhirifu wa pesa posho kwa wabunge wote). Ni vigumu,, ongeleeni watu wengine

Hilo linawezekana mtu anaweza kuteuliwa kuwa mbunge na waziri na akaapishwa kwenye uwaziri akaendelea na shughuli za uwaziri bila kwanza ya kuapishwa kuwa mbunge na spika isipokuwa hatakuwa na mamlaka ya kufanya shughuli za kibunge hadi atakapoapishwa ubunge mara baada ya
kikao cha bunge kuanza
 
Prof.Libumba,Zitto kabwe,Mnyika,Tundulisu,Kafyulira,Hammad Rashd,(Halima Mdee,oh typig error)No.Natamani wawepo kwenye baraza jpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…