Jiwe yu wapi?

Kaka wa USADI UPOOOO!!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] NILIONGEZA NENO JIPYA HILI KUTOKA KWENYE MAKALA YAKO ILIYOHUSU MASUALA YA UCHAGUZI WA 5015. USADI=KUMSAPOTI MTU KISIASA KWA KUSHAWISHIWA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona huwa unajificha kwenye sentensi za namna hii kwenye hoja zako tata? Mimi naona na wewe unakuwa hujui lolote ila kupitia njia hii unajaribu kupata clues. DAB naye kimya, kuna kitu kinachofanana hapo?
Hatima mbaya

All in bad shapes
 
ana kitu ila anaandika kama udaku ukiona huwezi sema ukaeleweka basi kaa navyo kimya
 
Wewe JAMAA there is something wrong within your brain,, TATIZO wewe unajiona unaakili sanaaa!! Kuzidi wenzio, hats kama ulishawahi kuwa kitengo,, inaonekana hukupikwa ukaiva katika mambo ya itelejensia wewe unachoprove uliiva umbea wa tumbo lako tuu,,
Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkimbizi feki wa kisiasa naona baridi ya finland imegandisha ubongo wako huku tanzania amani tele siku hizi tunatembea mpaka saa 8 usiku bila wasi wasi
Ikiwa si kibaka itakuwa askari mkamata wazembe na wazururaji usiku ili uachiwe chochote!!
 
Yupo na akina musiba bashite, lemutus, wanapanga mbinu ya kusima uasi wa nape,makamba na bashe, wanapanga namna ya kuzima CCTV camera na kuondoa ulinzi Sikh ya tukio na kuratibu mazishi ya wahanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…