Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 5,948
- 22,275
Wakijua kuyatumia hayo matege unaweza jikuta kidume una bweka wewe.Mimi nilikutana na mmoja ana utege kama Feruzi Teru aka Terura!Khatari hiyooo!
Unapigwa kabali ya kiuno huku ukifinyiwa kwa ndani, hapo lazima unene kwa ndimi na kuahidi kuhonga ulimwengu wote ilhali una buku tu mfukoni.