Somoe
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 754
- 282
Wadengereko wanapenda makelele, wakiongea tu kama wanaimba au kama wanapiga debe, hahaha.
Na upenda kuongea kama chiriku, na kimba imba.
Nenda kwa baba mwenye nyumba kamuambie, sio vizuri kama wana watoto wadogo wanawaribu masikio.
Lakini watoto wa kidengereko wanaweza kuimbiwa masikioni kwa nguvu ili wachangamke.
Na mdengereko atakubali kuama kuliko kuishi bila makelele.
Na upenda kuongea kama chiriku, na kimba imba.
Nenda kwa baba mwenye nyumba kamuambie, sio vizuri kama wana watoto wadogo wanawaribu masikio.
Lakini watoto wa kidengereko wanaweza kuimbiwa masikioni kwa nguvu ili wachangamke.
Na mdengereko atakubali kuama kuliko kuishi bila makelele.