Jirani yetu limbukeni anatuboa

Jirani yetu limbukeni anatuboa

Ukishindana na mwehu hatapatikana aliye mzima..nenda police post hawa jamaa lazima wamuhoji kibali cha kufanya mkutano wa chadema hapo lazima waondoke na kilo or fifty.
 
Pole sana, au labda kuna kitu anakipenda sana na huwa anafanya wakati huo sasa hataki majirani wasikie sauti za nanilii!
 
.. natafuta siku akiwa anaumwa nami nafungulia muziki kwa sauti ya juu,atajirekebisha tu.
Yeah, wakati anaumwa unafungulia nyimbo za vifo vifo hivi, kama ule wa "Kifo hakina huruma" wa Remmy
 
Yeah, wakati anaumwa unafungulia nyimbo za vifo vifo hivi, kama ule wa "Kifo hakina huruma" wa Remmy

Nikufundishe dawa ya watu kama hao! Azima pikipiki kama huna,jamaa kama ni mfanyakazi subiri usiku wa kuamkia kazini ingiza pikipiki ndani ikiwa fulltank akizima tu mziki usiku we unawasha piki2 unapiga lesi hadi asubuhi ukiulizwa sema we ni hobi yako ule mlio mbona we mziki hulalamiki?
 
Tafuta Sony hometheater ya hatari utaona atakavyopata akili
 
Ningekuwa mimi dawa yao ni kuwa na mziki mkubwa zaidi yao,natafuta siku akiwa anaumwa nami nafungulia muziki kwa sauti ya juu,atajirekebisha tu.

Kuna ule mwimbo=Uswahilini kuna vituko kweli vituko viko uswahilini
Siku akiwa anaumwa na ukafungulia mziki sauti ya juu si ndio utamponesha anachoumwa atajua sasa kapata washirika wenza siku akipona badala ya kuuzima mziki usiku yeye atakesha nao sijui nani atakuwa zaidi
Dawa nendeni mkapeleke kwa mjumbe akishindwa nendeni ngazi nyengine kwani kuna sheria ya kutombughuzi mwenzio
 
Yeah, wakati anaumwa unafungulia nyimbo za vifo vifo hivi, kama ule wa "Kifo hakina huruma" wa Remmy
Hahaaaa! Jamaa asijehama mtaa. ataona ziraili keshafika kumchukuwa.
 
Pole sana, au labda kuna kitu anakipenda sana na huwa anafanya wakati huo sasa hataki majirani wasikie sauti za nanilii!

Jamaa sana usiku wala asubuhi, aliondoka yeye mkewe nashik usulani, taarabu za mipasho.
 
Ningekuwa mimi dawa yao ni kuwa na mziki mkubwa zaidi yao,natafuta siku akiwa anaumwa nami nafungulia muziki kwa sauti ya juu,atajirekebisha tu.


Hii mbinu niliitumia chuoni, yaani jamaa akiweka music tu mm naweka wa juu zaidi alafu naenda zangu kusoma hata kama ni usiku, hahah corrido nzima walibidi wakomae mpaka kikaeleweka
 
Hahah kumbe ni Mdengereko....!!!
Baada ya ulimwengu kuhamia dijitali basi hata wao wamehama kutoka ngoma za "Mdundiko, Segere" nk na kuja kwenye ulimwengu wa kubofya...

Ila hao dawa yao ni moja tu, ongea na vishoka wa mtaani wapige shoti nyumbani kwake, hizo tabu hutazipata tena

Au aongee na vishoka wakabebe kabisa hako ka sub-ufa kenyewe usmbufu utaisha..
 
Mkuu wafungulie mashtaka mahakamani hiyo ni private nuisance wanakudeprive wewe na familia yako kuenjoy your premises, file a law suit chap waachishwe hiyo tabia
 
mtaje taje kwa sauti kubwa jina lake halafu mnaendelea na story zenu huku mkicheka sana ,atapunguza asikie mnasema nini!
 
kateni waya za umeme zinazoingia rum yake
 
Ukiona kabila ambalo watu wake wako radhi kuandaa ngoma for a millions on money halafu mtoto wao haendi xcul kwa kukosa ADA ujue lina matatizo! kuna mtu aliwahi kuniambia huwezi kukuta Mdengereko tajiri ila huwa wanapata tu nafuu ya maisha! maybe tunaweza kupprove, kaka kazi unayo kwa hao watu! full vijembe
Hahaahahahahaaaaaaaaaaaa!!!!! umenifanya nicheke sana , maana umesema ya kweli kabisaaaaaaaaaaaa! yaani hata wanaume zao wanaweka kikao kwa ajili ya kuwatoa wali ndani au shughuli ya kutunzana,ukiingia ndani kwao hata godoro la kulalia hakuna,hawawezi kuweka kikao cha kumsaidia mtoto kafaulu atakwendaje shule. Tena wanafikia kuwaambia watoto wao kuwa hawaoni tofauti ya aliyesoma na wao maana mnaishi wote kwenye nchi hii na hewa ni hii moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom