Jirani yangu anatembea na mwanafunzi!

Jirani yangu anatembea na mwanafunzi!

Kuna jirani apa chumba cha pembeni anaingiza mwanafunzi isitoshe mda mwingine anakuja kabisa na sketi ya shule.
Na ikitegemea hii nyumba ina geti so akiingia getini walio nje hawajui kaenda chumba kipi anasababisha hadi mimi naona soo nikiwa nje maana wanaweza kudhani ni mimi alafu nikapata kesi bure.

Nawaza kumwambia jirani aachane na mwanafunzi lisije kutokea balaa apa maana tupo wawili tu apa kwenye hii nyumba.

Na hata mda huu kameshatia timu kapo na begi la shule sijui kamedanganya kanaenda diacussion??
Tumia mbinu za medani kumwambia ili asikuhisi. Mwambie ndugu yangu njoo nikotonye. Haka katoto angalia kasije kukuletea balaa kwani juzi ulipokuwa haupo alikuja mama mmoja akawa ananichunguza kwa maswahili ya udadisi. Anaulizia kama kuna katoto ka shule huwa kanakuja hapa na huwa kanamfuata nani. Mwambie wewe uliyeyusha huyo mama kwa kumwambia hujawahi kukaona lakini mshauri aachena nako kwani unahisi wameweka mtego
 
Kuna jirani apa chumba cha pembeni anaingiza mwanafunzi isitoshe mda mwingine anakuja kabisa na sketi ya shule.
Na ikitegemea hii nyumba ina geti so akiingia getini walio nje hawajui kaenda chumba kipi anasababisha hadi mimi naona soo nikiwa nje maana wanaweza kudhani ni mimi alafu nikapata kesi bure.

Nawaza kumwambia jirani aachane na mwanafunzi lisije kutokea balaa apa maana tupo wawili tu apa kwenye hii nyumba.

Na hata mda huu kameshatia timu kapo na begi la shule sijui kamedanganya kanaenda diacussion??
Nawewe kapige mashine hakuna shida mkuu
 
Ukisoma comments za wachangia mada ndio utajua tumefikia hatua mbaya kupitiliza!

Kama mtu anaona ni sawa mtu mzima kutembea na mwanafunzi, tena anamshangaa na kumdhihaki anaekerwa na kitendo hicho, unafikiri kichwa cha namna hiyo kinaweza kubeba mawazo ya maendeleo?
 
Wivu huo

Jiamuni kama ufanyi utakuwa huru
Kuna jirani apa chumba cha pembeni anaingiza mwanafunzi isitoshe mda mwingine anakuja kabisa na sketi ya shule.
Na ikitegemea hii nyumba ina geti so akiingia getini walio nje hawajui kaenda chumba kipi anasababisha hadi mimi naona soo nikiwa nje maana wanaweza kudhani ni mimi alafu nikapata kesi bure.

Nawaza kumwambia jirani aachane na mwanafunzi lisije kutokea balaa apa maana tupo wawili tu apa kwenye hii nyumba.

Na hata mda huu kameshatia timu kapo na begi la shule sijui kamedanganya kanaenda diacussion??
 
Mtoto kishakua huyo wacha atumikie ukubwa wake, hapo labda umwambie mwana huyo demu wake asiwe anakuja na nguo za shule magetoni pia azingatie muda mtoto anaokuja usiwe wa masomo
mwambie balozi au mwenyekiti wa mtaa wako unaokaa,ukikaa kimya ikaja kugundulika itakula kwako. kuna kitu kinaitwa MANDATORY REPORTING,WEWE NI WAJIBU WAKO KURIPOTI KWENYE NGAZI HUSIKA ZA KISERIKALI MTAANI KWAKO,UKIKAA KIMYA SHERIA YA NCHI ITAKUUNGANISHA NA HUYO MPUUZI
 
Pilipili usiyoila inakuwashia nini mkuu? Muache na maisha yake maana hata likitokea la kutokea atakaeingia matatizoni ni yeye na si wewe.
Ukimwambia aache huyo mwanafunzi na kesho akakamatwa hudhani wewe ndie utakaekuwa mshukiwa wa kwanza kuwa umemchoma?
Kila mtu na starehe zake as long as hafanyi mambo yake chumbani kwako, hamfanyii ndugu yako na wala habaki maana ni dhahiri huyo binti anakuja kwa ridhaa yake basi na wewe ishi maisha yako.
Kunogesha chezo wewe anza kuingiza walimu kabisa ili mfungue tuition humo ndani.
1078045

Mkuu kwa shule anayosoma huyo dogo lazima atakuwa Ordinary Level ambayo kwa makadilio tu utamkuta Under 18 na kufanya tendo la ngono na Under 18 kisheria ubaka ata kama anakuja mwenyewe ama mulikubaliana na ndiyo maana huwezi kuingia mkataba na under 18 ukakubalika kisheria.
 
Kiherehere cha mwanafunzi we kinachokukera nn? Au na wewe unataka
Kuna jirani apa chumba cha pembeni anaingiza mwanafunzi isitoshe mda mwingine anakuja kabisa na sketi ya shule.
Na ikitegemea hii nyumba ina geti so akiingia getini walio nje hawajui kaenda chumba kipi anasababisha hadi mimi naona soo nikiwa nje maana wanaweza kudhani ni mimi alafu nikapata kesi bure.

Nawaza kumwambia jirani aachane na mwanafunzi lisije kutokea balaa apa maana tupo wawili tu apa kwenye hii nyumba.

Na hata mda huu kameshatia timu kapo na begi la shule sijui kamedanganya kanaenda diacussion??
 
Pilipili usiyoila inakuwashia nini mkuu? Muache na maisha yake maana hata likitokea la kutokea atakaeingia matatizoni ni yeye na si wewe.
Ukimwambia aache huyo mwanafunzi na kesho akakamatwa hudhani wewe ndie utakaekuwa mshukiwa wa kwanza kuwa umemchoma?
Kila mtu na starehe zake as long as hafanyi mambo yake chumbani kwako, hamfanyii ndugu yako na wala habaki maana ni dhahiri huyo binti anakuja kwa ridhaa yake basi na wewe ishi maisha yako.
Kunogesha chezo wewe anza kuingiza walimu kabisa ili mfungue tuition humo ndani.
View attachment 1078045
Mkuu kwa shule anayosoma huyo dogo lazima atakuwa Ordinary Level ambayo kwa makadilio tu utamkuta Under 18 na kufanya tendo la ngono na Under 18 kisheria ubaka ata kama anakuja mwenyewe ama mulikubaliana na ndiyo maana huwezi kuingia mkataba na under 18 ukakubalika kisheria.
 
Mchome kwa namna ya kipekee mwambie Jana wakati denti kazama ndani uliwakuta watu getini wakiulizana huyo mwanafunzi kaingia nyumba ipi.

Mwambie kuna watu wa kitaa wanamfuatilia
Mkuu umetisha sana..
 
Yani jirani kumbe unaumiaga roho!! Unakuja kuniletea umbea huku, na siku nikikamatwa mchawi ni wewe, hapatakalika hapa ndani nakwambia. Itakuwa ni wewe uliwaambia kina mama Rose nyumba ya pili
 
Kitie maji kiwe laini.
Una kichwa kigumu sana bado huelewi tu cyo
Kuna jirani apa chumba cha pembeni anaingiza mwanafunzi isitoshe mda mwingine anakuja kabisa na sketi ya shule.
Na ikitegemea hii nyumba ina geti so akiingia getini walio nje hawajui kaenda chumba kipi anasababisha hadi mimi naona soo nikiwa nje maana wanaweza kudhani ni mimi alafu nikapata kesi bure.

Nawaza kumwambia jirani aachane na mwanafunzi lisije kutokea balaa apa maana tupo wawili tu apa kwenye hii nyumba.

Na hata mda huu kameshatia timu kapo na begi la shule sijui kamedanganya kanaenda diacussion??
 
Back
Top Bottom