ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
Waheshimiwa mimi ninaishi na majirani wawili tunaopakana mpaka wa viwanja vyetu. Na wote tunatumia njia moja kufika majumbani kwetu na njia hiyo inaishia kwenye kiwanja changu. Majirani zangu hao wawili kwa muda majirani zangu hawa wametoboa upenyo ktk 'fence' za nyumba zao na wameelekeza maji machafu kwenye nyumba yangu.
Hii inasababisha maji machafu kutoka nyumba zao yote kutuama kwenye kiwanja changu. Lakini pia mwingine amepanda maua kwenye njia inayoingia kwangu hali inayopelekea mimi kuingia kwa shida nyumbani kwangu hasa ninapoingia na gari.
Je ktk mazingira kama haya, ni hatua gani nnazoweza kuzichukua kisheria ili waweze kufunga matundu ya maji machafu wanayoyatiririsha kwenye kiwanja changu? Nisaidieni waheshimiwa.
Hii inasababisha maji machafu kutoka nyumba zao yote kutuama kwenye kiwanja changu. Lakini pia mwingine amepanda maua kwenye njia inayoingia kwangu hali inayopelekea mimi kuingia kwa shida nyumbani kwangu hasa ninapoingia na gari.
Je ktk mazingira kama haya, ni hatua gani nnazoweza kuzichukua kisheria ili waweze kufunga matundu ya maji machafu wanayoyatiririsha kwenye kiwanja changu? Nisaidieni waheshimiwa.