JIRANI TAM TAMUU

JIRANI TAM TAMUU

11
"Za asubuhi shemeji?"
Alinipa salam huku akipiga hatua kutoka mlango wa bafuni,
"nzuri za mwamuko?"
"Namshukuru mungu, "
aliendelea kupiga hatua kueleka korido ya kutokea ili aende kwake niligeuza kichwa kuangalia mkia unavyotikisika, eebwana kuna watoto waliumbwa wakaumbika, nilienda bafuni kuoga ili nielekee kazini maana na mda ulikuwa umekwenda,,
Baada ya kuoga nilitoka na mke wangu mpaka kwenye gari yangu tukaingia kwa ajiri ya kuanza safari ya kwenda kazini, "mume wangu mlango hujafunga, "si wamo ndani watu,
"wametoka si unaona gari haipo? "
"Na ile nini?. "
"Hiyo ya mkewe juma,"
nilijiuliza huyo mke wangu kajuaje gari ya juma na gari ya mwanamke wakati jana tumekuja tukazikuta zimepaki? Amefahamu vp gari ya juma?. Nilinyamanza.
"Labda mkewe yumo ndani?. "
Nilimjibu huku nikitoa gari,
"una uhakika gani mme wangu?." Nilisimamisha gari nikaenda ndani kuhakikisha, nilipofika sebuleni nilimkuta shomy akiwa amekaa kwenye sofa huku ameshika kichwa,
"shomy??.. "
"yes shemeji,, "
"kumbe upo hukatoka?. "
"Yes,"
"sawa sisi tunatoka basi,"
"sawa ila gari yangu imegoma kuwaka?. "
"Si ungeenda na juma au alitangulia kutoka?. "
Kabla hajajibu simu yangu iliita kuangalia alikuwa mke wangu,
"hellow wife, "
"gari ya kazi kwangu imepita nimepanda ili nisikusumbue kunipitisha ofisini, "
"sawa kwa hiyo ilikuwa imekuijia?."
"Hapana ilikuwa inatoka kwa dk Alex, mtaa wa nyuma hapa"
"sawa, "
nikiitika ila nikijiuliza eti gari ya Hospital imepita inatoka mtaa wa nyuma kwa dokta Alex? Inamaa hizi siku chache mitaa yote kaijuwa? Na huyo Dokta ni nani? Huyu mke vipi mbona kama ana wenge? Niliacha kuyawaza nikaendelea kuongea na shomy,
"hajanitangulia kutoka ile yule mwanaume hawezi kunipakia kwenye gari yake?. "
"Kwanini?"
"Sijui basi tu hataki?. "
"Twende basi nikupe rifti,"
"usihofu nitachukua tax, "
"why wakati mimi nipo?"
. "Wewe unaenda air port mimi naenda posta wapi na wapi vinakutana?."
"Nitakupeleka kwa kuwa najua thamani ya mwanamke, "
Alitabasamu akaniangalia akajibu
"haya twende,
Tuliianza safari ile natoka tu nikapigiwa simu, "
"seif wahi ofisini bosi anakuhitaji kwa ajiri ya mkutano wa dharula,
"sawa niko njiani mwambie dk40 nitakuwa hapo,"
"sawa, "
"vp unahitajika ofisini?. "
"Ndio nahitajika ila acha nikufikishe ofisini kwako, "
Niliendesha gari kwa spidi kari ili niwahi kufika posta niko kwenye mataa ya jagwani upande wa pili nililiona gari juma mme wa shomy ila nilipoangalia vizuri nilimuona Zahara akiwa ndani ya hilo gari pamoja na juma,
*mmh!! Naota au sioni vizuri?* nilijiuliza kichwani ila nilipata jibu kutoka machoni mataa yaliruhusu gari ya juma ikakata kushoto kuelekea mhimbili na mimi nikaunga nyuma ila shomy hakuusoma mchezo wala gari hakuiona, "shemeji mbona huku?"
"Nakwepa foreni ya faya,"
"mh!! Njia unazijua za mkato,, "
"sana tu, gari ya juma ilisimama nje ya super makert,
 
Aiseee Seif kauziwa mbuzi kwenye gunia, tuendelee
 
Nafikiri Zanzibar hakuna posa za barua.Zaidi ni kujieleza.
 
Presidaa na huku unatupimia kama kule kwa Mama Mkwe mchawi?
 
12
Endeleaaa...
Nilichofanya nilipitiliza nikasimama mbele kidogo nikashuka,
"shomy nisubili kidogo nakuja, "
"sawa"
Niliondoka nikaelekea kwenye hiyo super market nilipofika mlangoni niliwaona kupitia kwenye vioo wakicheka 😀 😃 kwa fura niliumia sana ndani ya moyo nikalilia 😩moyoni nikaona haina haja bora niondoke zangu,
Nilirudi kwenye gari nikaondoa gari kwa kasi shomy akaniangalia kwa jicho la mshangao,
"vp seif?"
"Kawaida tu, "
alinyamanza hakuuliza kitu kingine, kwani alijiuliza huenda nimeona kitu kilichonikasilisha nilipokwenda.
Nilikuwa najiuliza mambo mengi sana kwani niliwaza au zahara na juma walikuwa na mahusiano ya mda mrefu? Nilijiuliza ila hakukuwa na jibu nilibaki kufikilia kuwachunguza ili nipate ukweli wote,
Nilijikuta nafika posta nikamshusha shomy,
"Seif asante sana, "
"na wewe pia,"
"na mimi pia? "
"Ndio,"
"kwa lipi?"
"Kwa kunipa sapoti ya maongezi na kukubali kutia baraka katika gari yangu,, "
"sawa wahi basi maana si nilisikia unahitajika ofisini?, "
"ndio, basi kwaheli nitarudi kukuijia, nipe namba yako."
"mh!!. Nisikusumbue Seif, namba ni 0763*56 **4"
"wala hunisumbui,"
"Mh!!.. sawa basi utaniijia,"
"Ok. Kazi njema,"
"na wewe pia,"
***********
Niliachana na shomy nikawahi ofisini,
Nilifikia kwenye kikao cha bodi kujadili kupandisha bei ya usafilishaji,
"Seif mbona kimya tunataka mawazo yako wewe ndie master hapa"
"labda tumsikilize meneja masoko si ndie anayejuwa zaidi,"
"Seif hauko sawa hebu tuvunje kikao tutakutana kesho tena,"
Kikao kilivunjwa nikarudi ofisini ila mawazo yalikuwa kwa mke Wang nilijiuliza ukaribu wake na juma unatokea wapi alafu nikajiuliza kwanini alinidanganya kuwa anaenda na gari ya kazini wakati aliondoka na juma? Kwa uongo huo inaonesha ana uhusiano wa kimapenzi na juma,
Niliwaza ila nikapata hakiri ya kumpigia chande simu anifafanulie kwanini amemleta juma kupanga kwangu na anieleze juma ana uhusiano gani na mke wangu wote si madokta wanajuana,
"Hallow chunde habari yako? "
"Nzuri vipi swahiba,"
"poa ila nieleze juma na Zahara wana uhusiano gani?,"
"mh!!! Si kwa ajiri ya kazi tu, "
"acha ujinga chande nieleze ukweli,"
Chande alishangaa kumuita mjinga kwani alijuwa kuwa namheshimu sana,
"Seif unanitusi?. "
"Nieleze acha kuzunguuka bwana,,"
"Seif nimekwambia hawana uhusiano wowote,"
"Chande kuanzia leo usinisemeshe,"
"kwanini?"
"Sina kwanin' kwaheli,"
Like yako ndio italeta mwendelezo.
"Usikate simu nitakwambia"
Itaendelea........!!
 
Sehemu . 13
Endelea nayo.
"Niambie sasa,,"
"Seif ama kweli una hasira ila kumbuka tulipotoka alafu ujue dhamani yangu kwako,"
"Hatuko kwenye ngonjera hapa nieleze kama hutaki achaa.."
"Sikia seif nikuwa juma na mkeo hawana mahusiano ila mwaka ulioisha juma alitakakumuoa Zahara lakini ikashindikana kwa kuwa Zahara alikuwa anakwenda India kusoma, alipokuwa india huku nyuma juma alipaanza mahusiano na msicha aliyekuwa nesi pale hospita na mahusiano yao yaliazaa matunda kwa kupata mtoto, zahara aliporejea alikutana hali hiyo na ndipo habari ya uchumba ikafia hapo na kudhibitishia kuwa hawakuwahi hata kufanya mapenzi wala hata busu haikuwepo,"
"Nashukuru sana kwa maelezo, "
nilikata simu,
Kumbe hapo nimepata jibu kwa hiyo watakuwa wamefufua mapenzi yao?
Niliwaza mengi yasiyokuwa na majibu kabisa ila moyo uliniambia vitendo vyao vitanipa majibu,
Nikiwa katika mawazo chande aliingia ofisini kwangu,
"Habari yako seif?."
"Nzuri,"
"Seif imebidi nije kuna nini tatizo kuhusu juma na Zahara?."
"Nikuulize swali? "
"Uliza, "
"hv juma ana tatizo la macho?."
"Hapana, "
"juma siku anahamia pale nilipomchunguza niliona anamkonyeza mke wangu,"
"mh!! Labda walikuwa wanataniana.."
"Matani kukonyeza mke wa mtu?"
"Hapo ndio tabu," "sikia na isitoshe zahara leo nilimuacha kwenye gari yangu nikaingia ndani ile niko ndani akanipigia simu kuwa ameona gari ya kazini kwao kwahiyo amepanda ameondoka, nikamwambia sawa kwakuwa tunaishi barabarani nikajua kweli kaiona ila nilichoshudia sasa ndicho kilichonitoa imani nilipokuwa kwenye mataa pale jangwani nilimuona akiwa na juma kwenye gari ya juma nikashituka sana nikawafuatilia nyuma nikaona wameingia suprmarket ya pale mtaa wa muhimbili hv mpaka hapo wewe chande kuhusu simulizi hii unaweza kuidadavua vipi kama wewe ndio mimi? "
"Mh!!!. Nashindwa niseme nini? "Siyo kwamba unashindwa useme nini ila wewe ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kuwa nakuhisi wewe ni dalali kwa mke wangu, "
chande alinikatisha akadakia,
"kwanini uniite dalali, "
"tena sikia chande wewe si dalali bali wewe ni kuadi wa mke wangu kwaku ulimuombea nyumba juma ili aweze kuwa karibu na mke wangu wafanye mambo yao, "
"Seif utakuwa unanihukum bule mimi,"
chande alitoa machozi huku kwa uchungu mpaka nikamuonea huruma nikakumbuka tulipotoka,
Enzi hizo miaka hiyo tukiwa watoto wadogo tena tukiwa hatuna wazazi tukiishi mwanza katika kituo cha tuliane cha watoto wa mitaani hali ilikuwa ngumu kupata chakula ilikuwa mtihani ila tulisaidiana kwa kila hali nilichonacho nilimpa alichokuwa nacho alinipa tulitembea pamoja kuomba omba mitaani aliyepata alimpa mwenzie ikafikia hatua chande akapata mfadhiri ulaya ila akakataa kwenda kwa kuhofia ataniacha mpweke ila nikatumia ujasiri kumwambia aende,
"chande wewe nenda ukipata na mimi nitakuwa nimepata, "
"siwezi kukuacha seif, "
"usipoondoka hutakuwa rafiki yangu tena maishani mwangu,"
Kauri hiyo ilifanya chande aondoke kwenda ulaya,
Nilipokumbuka hayo nilimsogelea chande huku machozi yakinitoka,
"Nisamehe chande,"
"nimekusamehe najua mke anauma kiasi gani,"
Tuliogea mengi hatimae tukaachana akarudi ofisini kwake,
Jioni nilimpigia simu mke wangu,
"Hallow wife?."
"Yes swty, "
"nitakuijia au? "
"Usisumbuke nitakuja na gari ya ofisini,"
"sawa,"
"Utatoka kazini saa ngapi?. "
"Saa 12,
"sawa,"
Nilinyamanza baada ya kufika saa kumi nilimpigia shomy, "vp mtoto wa kinyamwezi?"
"Poa za wewe? "
"Poa nakupitia njua mida ndio hii,"
"sawa,"
Nilienda posta nikamchukua tukaanza kurudi nyumbani ila nilipofika mitaa ya home nikamuona Zahara akiwa na juma wakishuka kwenye gari huku waneshikana mikono wakiingia ndani niliwaisha gari nikalipaki nje ya geti ili wasijue kama nimerudi, "mbona umepaki hapa? "Nisubili ndani ya gari nakuja, "
"poa,"
Niliwaza *ina maana zahura amefanya haya akijuwa nitachelewa kurudi kama kawaida? Sasa leo imekula kwake*
Itaendeleaaa.
 
14
Endeleaa....
Nilitoka nikazunguuka nyuma ili shomy asinione kama naenda nyumbani nilipofika getini nilifungua mlango mdogo nikaingia ndani ya geti nikanyata mpaka mlango wa sebuleni nikakuta umefungwa kwa nje,
Nilizunguuka dirashani nikaangalia nikaona wamekaa kwenye kiti kimoja wakiwa wanakunywa juice huku meno yote 32 yakiwa nje kwa vicheko,
Roho iliniuma ila sikuwa na jinsi nilichukua simu yangu nikawapiga picha kupitia dirishani nilisitaajabu nkaona jamaa anatoa cheni anamvisha mke wangu shingoni matukio yote niliyapiga picha, moyo ulilipuka pale nilipomuona juma anambusu shavuni mke wangu niliumia nakutoa chozi 😢 japo halikuwa na wakulidhamini, *ningemuowa Nasra haya yote yasingekuwepo maana ndie alikuwa chaguo langu*
Sikuwa na jinsi nilirudi nilikotoka kwenye gari yangu, nikiwa njiani kuelekea nyumbani nilipita dukani nikachagua ka blauzi kazuri na kakiatu kazuri nikafungasha nikaenda nako kwenye gari
"Nimechelewa?. "
"Kawaida tu, "
"nimekuletea zawadi,"
"ooh!! Thx seif,"
Alitaka kufungua kuangalia kuna nini nikamwambia ?
"Utaangalizia nyumbani,"
"sawa asante sana moyo wangu umefurahi sana,"
"unafurahi zawadi yenyewe hujaiona je ikiwa mbaya?"
"kitendo cha kupewa zawadi kimenifurahisha sana,"
"sasa shomy naomba ushukie hapa maana huwezi juwa labda juma anaweza kuwepo nyumbani,"
"kwani kuna tatizo gani akiwepo? "
"Anaweza kujihisi vibaya,"
"hilo nalo neno seif japo mimi sina wasiwasi,"
"Atanifikilia vibaya mimi,"
"Basi sawa kwaheli tutaonana home,"
"Poa,"
************
Nilikuwa wa kwanza kufika nyumbani shomy kwa kuwa alikuwa kwa miguu alichelewa kidogo,
Nilipofika nyumbani nilikuta sebuleni hakuna mtu ila kwa kuwa mimi ni mpelelezi niliyefuzu FBI niliweza kusoma mchezo kuwa wametoka sebureni hawana hata dk2 kilichonijulisha ni pazia za mlangoni zilikuwa zikicheza na pia niliangalia walipokuwa wamekaa nikabaini kuwa wamenyanyuka hawana mda kwani sehem hiyo ilikuwa na joto la makalio.
Niliingia chumbani kwangu nikamkuta mke wangu akivua nguo ili kwenda kuoga nilipiga jicho shingoni nikahisi maumivu moyoni kutokana na ile cheni nikajiuliza nimuulize au nipotezee?.
"Habari yako mke wangu?"
"Nzuri vp za kazi?"
"Nzuri,"
Nilijitupa kitandani na simu yake ilikuwa kitandani mala sms ikaingia nikaishika kwa juu ya kioo ilionesha jina la juma yes atanieleza kuhusu hii sms nikapeleka mkono kwenye sehemu ya kuruhusu meseji ifunguke
 
15
Endelea.
Ile napeleka kidole kwenye batani tu akanikwapua simu,
"Umekuaje mke wangu?."
"Naona unataka kusoma sms zangu?."
"Wala nilitaka nikupokeze simu tu,"
"basi asante,"
"haya, lakini mke wangu hata nikisoma kuna ubaya gani? kuna kitu cha siri sana unachoficha nisijue "
"Sifichi chochote ila neno simu ya mkononi inabidi tulizingatie na kuliheshimu kwa kuwa sisi sote ni wasomi tuna elewa maana yake. "
"Sawa asante kwa elimu unafumbua macho leo nami nitaeneza elimu hiyo. "
Nilimuacha ili ajione yeye ni mshindi zaidi yangu,
Nilimuangalia alipokuwa anasoma ile sms uso wake ukapata tabasamu nilichoamuwa nilitoka nikaenda sebuleni nikamcheki juma yuko bize na simu nikajua yuko ana chat na mke wangu,
Na mimi nikashika simu nikaanza kuchat na mke wake.
*heloow dear?. Akajibu, *yes dear,
*vp zawadi umeifungua?. *ndio nimejipima kabisa yaani imenipendeza wewe acha tu,, *kweli?. *ndio, *uko wapi shomy?, *chumbani, *namuona jamaa anachart tu hapa sebuleni, *yuko ana chart na hawala zake kila siku yuko hivyo, *mimi mwenye mke wangu yuko kwenye wasap sijui ana chart na nani nikaona na mimi acha nichat na wewe?. *pole kwa hiyo hakupikii leo?. *sijui si unajua nyie wanawake mlivyo? *mh!!! Siyo wote bwana, *kama siyo wote wewe mbona humpikii mmeo?, *anajuwa kuwa leo sipiki, *kwanini?.
*sijisikii vizuri si unajua sisi wanawake tena tarehe hizi, *ok sawa nimekuelewa, *kwa hiyo utalala bila kula? *naona kabunda tu hapo sebuleni wakati nimemwambia nasikia njaa, *nipe dk10 narudi kwenye chat? " *sawa ,
***********
Nilikata simu nikatoka nje nikaelekea kwenye mgahawa mmoja uliopo jirani yetu.
"Nipe biriani na kuku rost, "
"sawa, "
Nilichukua msosi nikala baada ya kula nikamwambia mhudum.
"nifungie nyingine naondoka nayo"
, "sawa na yenyewe ni biriani kuku rost?"
"Ndio,"
Nilichukua nikapita dukani nikanunua pedi nikaweka kwenye mfuko nikaondoka.
Nilipofika ndani zilipita dakika tano nikamwambia Juma, "Nasikia Kama gari yako inapiga alam, "
Nilimwambia alitoka mbio mpaka nje na mimi nikapata upenyo nikakipimbia mbio mpaka chumbani kwake.
Shomy, alishituka maana hakutalajia kuniona pale, mshituko ule mpaka taulo yake ilidondoka, "seif nini tena?. "Chukua, nilimpa mfuko mimi nikachomoka ile natoka mlangoni nikakutana na juma."
Poleni kwa kuwa fupi nimekosa muda wa kuirefusha.
Like yako ndiyo inaleta mwendelezo.
Itaendelea...........
 
Sehemu ya 16.
Endelea nayo.
Nilihisi nimekutana na juma kumbe ilikuwa pazia ya mlangoni mapigo ya moyo yalienda mbio, nilijuwa nimeisha,
Nilienda nikakaa kwenye sofa juma alipotoka chooni alinikuta nimekaa kwenye sofa.
"vp kaka? "
"Poa niaje?. "
"Shwari, "
Alikaa kwenye sofa akaanza kuchat hata hakuniambia Kama gari yake ilikuwa na tatizo gani, nilipoona hali hiyo nilienda chumbani nikakuta mke wangu naye ana chart, nilirudi sebuleni nikakuta jamaa yuko bize ana chart karoho kalikuwa kanauma ila nilijikaza mpaka nitakapoona mwisho wake,
Nilikaa kwenye sofa mala sms ikaingia.
*asante kwa kunijali dear, *mbona kawaida tu, *hapana seif nimependa kwa ulichofanya, "*sawa," *seif ulichonifanyia sitokuja kukisahau kamwe katika maisha yangu, "*mbona ni mambo madogo sana hayo," *kwangu ni makubwa sana umenijali kwa chakula, hadi pedi mme wangu kakaa hapo sebuleni tu, *labda ana chart na wagonjwa?, *kweli ni wagonjwa ila wa mapenzi, *vpi umekula?. *ndio nakula dear karibu, *asante endelea, *biriani ni tamu sana dear, *haijazidi chumvi?. *hapana iko sawa kabisa, *sawa kula kwanza tuta chart baadae, *seif nikwambie jambo?. *niambie shomy,
*ningependa tungekuwa tunakula wote huku tunapiga story, *mh!!! Sawa hata kesho j'mosi najua utatoka kazini mapema basi naomba uje pale air port tule chakula cha mchana pamoja,
*nitakuja kwakweli maana unanivutia seif hakika wewe ndie mme bora kwa mkeo, *hata wewe pia ni mke bora kwa anaejua ubora wako, *naona mmeo anakuja huko, *basi baadae hata biriani yangu nimeimaliza, *sawa,
Baada ya dk 3 nilimuona mke wangu naye anakuja sebuleni nilitulia simu ilikuwa pembeni.
"Mme wangu utakula nini nikupikie mayai na mkate?. "
"Nimeshiba asante,"
"Umeshiba nini?."
"Upepo,"
"upepo?."
"Ndio,"
"Mme wangu mbona hivyo,"
"sitaki maswali mengi fanya yako nitakula simu yako,"
"Utakula simu yangu kivipi?"
"Ungejua mimi ni mmeo ungefanya maandalizi mapema ya chakula uanze kupika mida hii nitakula saa ngapi?."
Wakati huo shomy alitoka chumbani akakuta marumbano yangu na mke
wangu.
"shomy: habari yako zahara?"
"Nzuri za kwako? "
"Nzuri,"
alipomaliza kusalimia alipitiliza jikoni.
"Mme wangu naomba unisamehe?."
"Naomba ufanye yako achana na mimi,"
"sawa asnte,"
aliondoka kwa hasira nikaona kuwa amebadilika angekuwa ana tii angenibembeleza.
Baada ya dk2 shomy alikuja sebureni akiwa ana haraka akaja mpaka nilipokuwa nimekaa.
"Seif chukua,"
alitoa juice ya pakiti kwenye taulo yake akanipa.
"Asante,"
alisogea pembeni akakaa kwenye sofa jingine.
"vp unaendeleaje?."
"Poa,"
sms iliingia kwenye simu yangu.
*seif tuchart,"
"poa,"
*vp juice tamu?."
*sana tena sana,,"
*sawa naenda kuoga,,"
*nije nikusugue?."
*mh!!!...."
*mh!!!!.. nini?."
**nisije kupigwa,"
*hamna wa kukupiga bana,"
*haya njoo ndio naenda hivyo,,"
*sawa tangulia,,"
*natangulia, leo naenda simu bafuni,"
*kwanini?."
*wasnipekua sms zangu,"
*kwani huzifuti?."
*nikiwa peke yangu nazipitia,"
*sawa umefika bafuni?."
*nimefika,"
*wakati unaondoka nilikuwa navutiwa kuangaliwa sebene lako,"
*seif una matatizo wewe hebu njoo,,"
*nakuja, "
Nilienda mpaka korido ya bafu nikamtumia sms kumbe mke wangu alikiwa nyuma.
*shomy fungua,"
*sawa,,,"
Kitasa kikacheza kuashilia nafunguliwa mlango.
 
Sehemu ya 17
Kitasa kilicheza kuashilia mlango unafunguliwa ila mwili ulinisisimka nikahisi kuna kitu nikabadili mada fasta.
"Shomy angalia kwa hapo juu ipo."
Shomy naye alicheza kama pele fasta akajiongeza,
"jirani siyioni,"
"Kwenye msumali hapo haipo?."
"Siyioni jirani,"
mala sauti ikatoka nyuma yangu.
"niliipeleka chumbani Taulo,"
"sasa mbona huku niambia mpaka namsumbua jirani?"
"Nilipitiwa,"
Nilitoka eneo la bafuni nikaenda sebureni,
*mh!!! Kidogo nibambwe sababu zote zingehamia kwangu*
Baada ya dk5 shomy alitoka bafuni,
Alipofika sebuleni alinisota na kidole akanionesha ishara ya kuchapwa,
Baada ya dk10 sms iliingia kwenye simu yangu ilikuwa ikitoka kwa shomy.
*seif ungeshikwa ugoni leo,*
*ningeshikwa ugoni au tungeshikwa ugoni?.*
*sijui ingekuwaje ungeombwa talaka leo,*
*hana jeuri hiyo,*
*haya usiku mwema seif,*
*na wewe pia,*
*ila kesho usiniache nataka rifti,*
*sawa,*
*haya usiku mwema,*
******** ***
Na mimi niliingia chimbani nikaenda kulala zahara alikiwa jikoni akikangaa mayai na kuandaa mkate,
Nilipofika kitandani nilipitiwa na usingizi nikawa nimelala mida saa nne usiku zahara alinifuata kitandani.
"Mme karibu tukale,"
Nilimnyamanzia akarudia tena.
"Mme wangu karibu chakula,"
"Mimi nasikia usingizi bana niache nilale,"
Alikuwa mpole akarudi kukaa sebureni hata kula alishindwa akarudi kulala,
Palikucha siku hiyo aliamka mapema kuliko siku zote.
Alijianda fasta kisha akaniaga.
"Mimi nakwenda,"
"Sawa, unaenda na usafiri gani?."
"Napanda bajaji hapo nje,"
"Ndivyo ulivyoamuwa?"
"Hapana nawahi,"
"Sawa nenda,"
Aliondoka nilichukua simu nikamtumia sms shomy.
*vp umejiandaa?.*
*Ndio nataka kwenda kuoga,*
*mzee yuko wapi?.*
*kaondoka,*
*basi tukutane bafuni nikusugue,*
*dokta hayupo?.*
*kaondoka,,*
*mh!!!... leo sitaki kusuguliwa labda kesho,*
*kwanini*
*acha niwahi kuoga twende bana,*
Nilimpimia nikatoka chumbani kwangu nikasimama mlangoni na shomy wakati huo alikuwa akitoka chumbani kwake.
"Nikusalimie tena seif au salam ya kwenye sms inatosha,,"
"Njoo karibu yangu,"
Alinisogelea bila kupinga nikamkumbatia akalalia kifua changu nikampitishia mkono kiunoni kwake.
"Se....if "naam,...."
"Acha nikaoge,"
aliongea huku akijitoa kwenye mwili wangu na kwenda bafuni niliishia kuangalia maboga yanavyo tikisika siyo siri uchu wa mapenzi ulinishika nikakosa cha kufanya nikamfuata bafuni shomy.
"Shomy....,,"
"abeee....,,"
"Niko vibaya mw..e..nzi..y...o,,"
alijibu kwa sauti raini ya upole iliyojaa huruma.
"se.....iif sina cha kukusaidia kwa sasa.....,, "kwa...ni...ni.."
"Se.....if ja..na umeniletea nini?..."
"Basiii fungua mlango.."
"Se...if jamani....,,"
"Nihurumie shomy..,,"
"Seif na..kuhurumia ilaaa.....,,,"
"Ilaaa...ni...ni..shomy?.."
"Se...if,, "
"naaam shomy,,"
Nilisikia kwikwi ya kulia kwake.
"Shomy mbona unaliyaaa?.."
"Se...if nakupenda lakini??..."
"Lakini nini shomy?.."
"Nimechelewa... na wewe umechelewa.."
"Kivipi??... "
"Una mke seif na mimi nina mme japo kila mmoja anaonesha hana furaha na ndoa yake,"
"Unajua shomy kuna kukosea kuoa na kukosea kuolewa,,"
"Hayo ndio yaliyonikuta mimi seif,,"
"Shomy mimi sikuwa na nia ya kumuowa Dokta nilipeleka posa kwao ili nimuowe ndugu yake anayeitwa Nasra ila nikajikuta nabadilishiwa mke napewa zahara nilitaka kumkata ila alilia sana nikamuonea huruma nikamuowa lakini leo najutia kumhulumia kwa haya anayonifanyia amekuwa sio msikivu amekuwa yeye na simu tu,"
"Pole sana seif, mimi niliwahi kupendana na kijana mmoja hivi wakati nasoma siyo siri alinipenda sana na ndiye mwanaume aliyenitoa bikira na yeye siku hiyo ndio ilikuwa mala ya kwanza kukutana na msichana tulifurahia siku hiyo nilimpenda sana huyo kijana japo alikuwa ni kijana wa mtaani na kwetu tulikuwa matajiri nilimpa nilichokuwa nacho ili aonekane vizuri mama yangu alimpenda sana huyo kijana.
"Rita Ritaaaaaaa."
Nilimkumbuka ndie aliyekuwa chaguo langu toka nasoma kwa msaada wa tuleane mwanza, nilipomuita jina lake alilokuwa anatumia kipindi cha utoto wake alishituka na mimi akaniita jina langu la zamani.
"Jarudiii jarudiiiii...."
Shomy alifungua mlango wa bafu tukakumbatiana kwa furaha kwani ni miaka mingi sana tangu tulipoachana,,
Tukiwa tumekumbatiana gafla sauti ya mlango kufunguliwa ulisikika .
Itaendeleaaa.....
 
19
Endelea....
Hadithi hii imecheleweshwa na like hivyo msinilaumu.
Endelea kusoma....
Sauti ya mlango kufunguliwa ilisikika tukashituka.
"Kuna mtu sebureni."
"Ndio, nimesikia mlango unafunguliwa."
"Ngoja nakuja naenda kumuangalia ni nani?."
Nilitoka bafuni nikaenda sebureni kuangalia ni nani huyo aliyekuja
Nilipofika sebureni sikukuta mtu yoyote niliingia chumbani kwangu nikashangaa kumkuta mke wangu.
"Vp mbona umerudi?."
"Nilisahau hizi karatasi,"
"Ok."
"Mbona bado uko nyumbani leo huendi kazini?."
"Nitaenda,"
"saa ngapi?."
Nilimjjibu vibaya bila kutarajia.
"Hayo ya saa nayajua mimi ya kazini kwangu hayakuhusu,"
"sawa nisamehe kama nimekosea kukuuliza,"
Alichukua karatasi zake akatoka chumbani akaenda zake,
Nilichofanya nilienda kuchungulia dirishani kuhakiki kama kaenda kweli,,
Nilishangaa sana kuona mke wangu kumbe aliretwa na juma.
*shit hivu huyu juma ananiona mimi fara hata kama sijui kusoma hata picha sioni?.*
Nilipotezea nikarudi bafuni.
"Vipi shomy bado hujamaliza kuoga?"
"Bado,"
"leo utachelewa kazini,"
"Na wewe je?"
"Mimi sina shida kwanza leo j'mos hakuna kazi nyingi,"
Shomy alifungua mlango wa bafu nikaingia nilimkuta uchi kama alivyo zaliwa.
"Shomy nakupenda nakumbuka enzi zileee za tuleane,"
"Hata mimi Seif,"
Tulikumbatiana tukaanza kulana mate taratibu nilipitisha mkono wangu mpaka kwenye sebene la mtoto wa kike nikaanza kulichezea kwa staili ya kuliminya minya kama puto.
"Shomy umekuwa umezidi kuwa mzuri sana,"
"Mh!!!.. hata wewe pia mpenzi wangu wa zilipendwa,"
"Shomy nakumbuka siku ileee nimekupeleka bakonzi tukacheze mziki wa avon chaka chaka,"
"Mh!!!, ilikuwa ni burudani sana siku hiyo nilihisi furaha sana mpaka narudi nyumbani mama alijuwa kuwa nina furaha,"
"hv mama yupo jamani? "
"ndio,"
Maongezi yaliendelea huku nikimchezea sehem mbali mbali za mwili wake nikafikia sehem ya chuchu nikashika chuchu nikaanza kuziminya minya kwa stairi ya kipekee sana,
Nilishika tule tunyonyo twambele nikawa natuminya na kutuvuta kwa mbele hapo mtoto wa kike alishindwa kujizuiya,"
"Seif aaaxiiii oooohuuuu mmh!!!."
"Tulia kidogo shomy,"
"Seiiif aa...x!!!!....,"
Nilipeleka ulimi mpaka kwenye chuchu ya kushoto nikaanza kuinyonya kwa ufundi mkubwa kama nanyonya ice cream na huku nikimungunya kama namngunya Big G.
"Se.....if weeeeee ohuuuuu."
Nilimchezea nikaona nini si niingize msumali hapa,
Nilimbinua kidogo nikamsogezea msumari kwenye k*m yake.
"Se....if niko kwenye siku zangu.."
Like yako ndio Inafanya Hadithi hii ipostiwe haraka.
 
20
Endeleaaa.......
"Se.....if niko kwenye siku zangu,"
"Mbona na mimi nimechemka?.."
"Seif nikusaidieje?"
"Basiii siku nyingine tutafanya shomy,,,..,,"
"Ila tujalibu maana nilitoa damu kidogo jana alafu ikakata mpaka leo haijatoka tena,"
Sikutaka kuongea mengi nilimshika kiuno nikamsogeza nikamuinamisha vizuri nikamuingizia msumari ndani ya utam wake nikaendelea na kumuwekea manjonjo ya kila aina ili kumnogesha mtoto wa kike,
Nilimchezea titi huku nikizidi kupampu mashine ndani ya utam wake.
"Seif taratibu mpenzi wangu taratibuuu uwiio...ayiiii,"
Nilimpa mambo matam niliyofunzwa na wakunga wa mtaani,
Raha ya tendo la ndoa ni lazima uwe mubunifu wa stairi za mapenzi siyo kila siku unampiga kifo cha mende mkeo au mke ukiwa kitandani unajiachia kwa kutenga kitumbia bila kukigeuza geuza shariti ya kitumbua kikiwa kwenye kikaango lazima kigeuzwe usipofanya hivyo lazima kiungue na kikiungua kitakosa radha,
Tuendelee na ya shomy...
Nilimpa kitu roho inapenda na yeye akanihudumia vizuri mpaka nikafurahi japo tulikuwa bafuni,
Kitu kilichonifurahisha ni uke wake mtam na mzuri uliotunzwa vizuri.
"Seif basi tutafanya siku nyingine."
"Nimependa sana ulivyo shomy,"
"Kivipi?."
"Uke wako ni mtamu ni mzuri na unavutia umenikumbusha enzi zile kwenye jumba bovu,"
"Seif unakumbu kumbu wewe,"
"Siwezi kusahau dhahabu iliyonipa utajiri,,"
"Seif siyo siri wewe ni mtamu kwangu sijui kwa wengine uliowahi kuwakuna,,
"Mh!!!.. hao achana nao,,"
"Seif namshangaa mkeo anavyojichanganya inamaana haoni dhamani yako?."
"Ukiishi na mwembe karibu huwezi kusikia utam wake kama anavyousikia mpita njia,"
"Seif hujaacha mambo yako tu?."
"Mambo gani?."
"Misamiati yako hiyo,,"
"Upi unaoukumbuka..,"
"Nakumbuka ule msamiati ulionitongozea,,"
"Upi?."
"Uliniambia eti eti.. najua choo cha tundu hakiwezi kuwa na dhamani mbele ya choo cha sinki,"
"Shomy unakumbukumbu kweli kweli,"
Tuliongea mengi na wakati huo tulikuwa bafuni tulitumia masaa matatu bafuni tukiongea tu bila hata kuoga.
"Se..if, "na..muu,"
"Tuoge tutoke bafuni,"
"Sawa."
Tulijimwagia maji baada ya hapo tukatoka bafuni tukakaa sebureni.
"Haa seif kumbe ni saa nne?"
"Ndio,"
"Leo kazini hakuendeki,"
"Tukale bata tuu au vp shomy?."
"Sawa, ngoja nikuwekee chai,"
"Usisumbuke kavae twende twende tukanywe chai hotelin,"
"Sawa,"
Kila mmoja alienda chumbani kwake akavaa baada ya hapo tukatoka na kwenda kwenye mgahawa tukanywa chai.
Baada ya kunywa chai tuliingia kwenye gari tukaanza kushaurina twende wapi.
"Seif twende kwa mama ukamsalimie,"
"Poa twende,"
Tulianza safari ya kwenda masaki kwao na shomy tukiwa mitaa ya mwenge nilimuona Nasra moyo ukalipuka pwaaa nijageuza shingo kuhakiki moyo ukadunda mala mbili zaidi, Nikawaza inamaana aliondoka Zanzibar kweli nilikumbuka siku nilipomkosa kwenye harusi nilikumbuka ukatili waliomfanyia kwao nikafunga breki.
ITAENDELEAA....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom