presider
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,420
- 1,876
- Thread starter
- #21
11
"Za asubuhi shemeji?"
Alinipa salam huku akipiga hatua kutoka mlango wa bafuni,
"nzuri za mwamuko?"
"Namshukuru mungu, "
aliendelea kupiga hatua kueleka korido ya kutokea ili aende kwake niligeuza kichwa kuangalia mkia unavyotikisika, eebwana kuna watoto waliumbwa wakaumbika, nilienda bafuni kuoga ili nielekee kazini maana na mda ulikuwa umekwenda,,
Baada ya kuoga nilitoka na mke wangu mpaka kwenye gari yangu tukaingia kwa ajiri ya kuanza safari ya kwenda kazini, "mume wangu mlango hujafunga, "si wamo ndani watu,
"wametoka si unaona gari haipo? "
"Na ile nini?. "
"Hiyo ya mkewe juma,"
nilijiuliza huyo mke wangu kajuaje gari ya juma na gari ya mwanamke wakati jana tumekuja tukazikuta zimepaki? Amefahamu vp gari ya juma?. Nilinyamanza.
"Labda mkewe yumo ndani?. "
Nilimjibu huku nikitoa gari,
"una uhakika gani mme wangu?." Nilisimamisha gari nikaenda ndani kuhakikisha, nilipofika sebuleni nilimkuta shomy akiwa amekaa kwenye sofa huku ameshika kichwa,
"shomy??.. "
"yes shemeji,, "
"kumbe upo hukatoka?. "
"Yes,"
"sawa sisi tunatoka basi,"
"sawa ila gari yangu imegoma kuwaka?. "
"Si ungeenda na juma au alitangulia kutoka?. "
Kabla hajajibu simu yangu iliita kuangalia alikuwa mke wangu,
"hellow wife, "
"gari ya kazi kwangu imepita nimepanda ili nisikusumbue kunipitisha ofisini, "
"sawa kwa hiyo ilikuwa imekuijia?."
"Hapana ilikuwa inatoka kwa dk Alex, mtaa wa nyuma hapa"
"sawa, "
nikiitika ila nikijiuliza eti gari ya Hospital imepita inatoka mtaa wa nyuma kwa dokta Alex? Inamaa hizi siku chache mitaa yote kaijuwa? Na huyo Dokta ni nani? Huyu mke vipi mbona kama ana wenge? Niliacha kuyawaza nikaendelea kuongea na shomy,
"hajanitangulia kutoka ile yule mwanaume hawezi kunipakia kwenye gari yake?. "
"Kwanini?"
"Sijui basi tu hataki?. "
"Twende basi nikupe rifti,"
"usihofu nitachukua tax, "
"why wakati mimi nipo?"
. "Wewe unaenda air port mimi naenda posta wapi na wapi vinakutana?."
"Nitakupeleka kwa kuwa najua thamani ya mwanamke, "
Alitabasamu akaniangalia akajibu
"haya twende,
Tuliianza safari ile natoka tu nikapigiwa simu, "
"seif wahi ofisini bosi anakuhitaji kwa ajiri ya mkutano wa dharula,
"sawa niko njiani mwambie dk40 nitakuwa hapo,"
"sawa, "
"vp unahitajika ofisini?. "
"Ndio nahitajika ila acha nikufikishe ofisini kwako, "
Niliendesha gari kwa spidi kari ili niwahi kufika posta niko kwenye mataa ya jagwani upande wa pili nililiona gari juma mme wa shomy ila nilipoangalia vizuri nilimuona Zahara akiwa ndani ya hilo gari pamoja na juma,
*mmh!! Naota au sioni vizuri?* nilijiuliza kichwani ila nilipata jibu kutoka machoni mataa yaliruhusu gari ya juma ikakata kushoto kuelekea mhimbili na mimi nikaunga nyuma ila shomy hakuusoma mchezo wala gari hakuiona, "shemeji mbona huku?"
"Nakwepa foreni ya faya,"
"mh!! Njia unazijua za mkato,, "
"sana tu, gari ya juma ilisimama nje ya super makert,
"Za asubuhi shemeji?"
Alinipa salam huku akipiga hatua kutoka mlango wa bafuni,
"nzuri za mwamuko?"
"Namshukuru mungu, "
aliendelea kupiga hatua kueleka korido ya kutokea ili aende kwake niligeuza kichwa kuangalia mkia unavyotikisika, eebwana kuna watoto waliumbwa wakaumbika, nilienda bafuni kuoga ili nielekee kazini maana na mda ulikuwa umekwenda,,
Baada ya kuoga nilitoka na mke wangu mpaka kwenye gari yangu tukaingia kwa ajiri ya kuanza safari ya kwenda kazini, "mume wangu mlango hujafunga, "si wamo ndani watu,
"wametoka si unaona gari haipo? "
"Na ile nini?. "
"Hiyo ya mkewe juma,"
nilijiuliza huyo mke wangu kajuaje gari ya juma na gari ya mwanamke wakati jana tumekuja tukazikuta zimepaki? Amefahamu vp gari ya juma?. Nilinyamanza.
"Labda mkewe yumo ndani?. "
Nilimjibu huku nikitoa gari,
"una uhakika gani mme wangu?." Nilisimamisha gari nikaenda ndani kuhakikisha, nilipofika sebuleni nilimkuta shomy akiwa amekaa kwenye sofa huku ameshika kichwa,
"shomy??.. "
"yes shemeji,, "
"kumbe upo hukatoka?. "
"Yes,"
"sawa sisi tunatoka basi,"
"sawa ila gari yangu imegoma kuwaka?. "
"Si ungeenda na juma au alitangulia kutoka?. "
Kabla hajajibu simu yangu iliita kuangalia alikuwa mke wangu,
"hellow wife, "
"gari ya kazi kwangu imepita nimepanda ili nisikusumbue kunipitisha ofisini, "
"sawa kwa hiyo ilikuwa imekuijia?."
"Hapana ilikuwa inatoka kwa dk Alex, mtaa wa nyuma hapa"
"sawa, "
nikiitika ila nikijiuliza eti gari ya Hospital imepita inatoka mtaa wa nyuma kwa dokta Alex? Inamaa hizi siku chache mitaa yote kaijuwa? Na huyo Dokta ni nani? Huyu mke vipi mbona kama ana wenge? Niliacha kuyawaza nikaendelea kuongea na shomy,
"hajanitangulia kutoka ile yule mwanaume hawezi kunipakia kwenye gari yake?. "
"Kwanini?"
"Sijui basi tu hataki?. "
"Twende basi nikupe rifti,"
"usihofu nitachukua tax, "
"why wakati mimi nipo?"
. "Wewe unaenda air port mimi naenda posta wapi na wapi vinakutana?."
"Nitakupeleka kwa kuwa najua thamani ya mwanamke, "
Alitabasamu akaniangalia akajibu
"haya twende,
Tuliianza safari ile natoka tu nikapigiwa simu, "
"seif wahi ofisini bosi anakuhitaji kwa ajiri ya mkutano wa dharula,
"sawa niko njiani mwambie dk40 nitakuwa hapo,"
"sawa, "
"vp unahitajika ofisini?. "
"Ndio nahitajika ila acha nikufikishe ofisini kwako, "
Niliendesha gari kwa spidi kari ili niwahi kufika posta niko kwenye mataa ya jagwani upande wa pili nililiona gari juma mme wa shomy ila nilipoangalia vizuri nilimuona Zahara akiwa ndani ya hilo gari pamoja na juma,
*mmh!! Naota au sioni vizuri?* nilijiuliza kichwani ila nilipata jibu kutoka machoni mataa yaliruhusu gari ya juma ikakata kushoto kuelekea mhimbili na mimi nikaunga nyuma ila shomy hakuusoma mchezo wala gari hakuiona, "shemeji mbona huku?"
"Nakwepa foreni ya faya,"
"mh!! Njia unazijua za mkato,, "
"sana tu, gari ya juma ilisimama nje ya super makert,
