Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
7,673
12,301
Habari za leo?

Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.

Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.

Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.

Asanteni.
 
Habari za leo?

Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.

Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.

Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.

Asanteni.
Huo ukuta utengenezee namna siku udodonke usiku uuwe hao ng'ombe wake
Alafu asubuhi anza kumlaumu kwanini anafugia ng'ombe kwenye ukuta wako alafu mwambie ona sasa mifugo yako imedondosha ukuta na imekufa .

Mwisho mpe pole kwa yaliyotokea atakuwa kajifunza

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
....Halafu unajikuta huna tena pa kwenda ili kumkwepa....
Mtu umejibana wee umenumua kiwanja na umejenga kibanda chako halafu unakutana na majirani pasua kichwa...
Kuna matukio yakitokea unaweza kujiuliza yametokeaje maana unaona kama lingeweza kuepukika lakini siku yakikukuta unastukia tu tayari umeshafanya jambo baya halafu unabaki kujuta,kuna watu wanakera sana.
 
Habari za leo?

Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.

Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.

Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.

Asanteni.
Kama ukuta wako ni wa matofali ya (block), wewe ondoa matofali yako yote.
 
Huo ukuta utengenezee namna siku udodonke usiku uuwe hao ng'ombe wake
Alafu asubuhi anza kumlaumu kwanini anafugia ng'ombe kwenye ukuta wako alafu mwambie ona sasa mifugo yako imedondosha ukuta na imekufa .

Mwisho mpe pole kwa yaliyotokea atakuwa kajifunza

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Daah unatoa ushauri aue ng'ombe kisa ugomvi wenu ushauri wa kiboya sana huu...
 
Habari za leo?

Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.

Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.

Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.

Asanteni.
Nakushauri mpuuze ,endelea na maisha Yako.


Ilimradi anafuga ng'ombe kwenye plot yake ndani Kwa ndani, mchukulie tu, maisha yaendelee. Ingekuwa nguruwe, harufu yake ndo mtihani.

Mke wako akijifungua, atakuuzia maziwa Bora kabisa.😀😀

Ubarikiwe.
 
Huo ukuta utengenezee namna siku udodonke usiku uuwe hao ng'ombe wake
Alafu asubuhi anza kumlaumu kwanini anafugia ng'ombe kwenye ukuta wako alafu mwambie ona sasa mifugo yako imedondosha ukuta na imekufa .

Mwisho mpe pole kwa yaliyotokea atakuwa kajifunza

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hakika wewe ndiye mbongo
.😅😅😅 umenikumbusha kitabu cha mfalme juha
 
Habari za leo?

Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.

Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.

Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.

Asanteni.
The neighbor from hell. Seek some legal help and approaches to tackle that problem by inviting mwenyekiti and other local jurisdictions.

Magonjwa Mtambuka
 
Back
Top Bottom