Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Chura hua inasaidia kidogo kupoza machungu.chura atoe wapi sasa zaidi ya flat screen
Ila kama ni flat screen mpotezee tu mkuu.
Chura hua inasaidia kidogo kupoza machungu.chura atoe wapi sasa zaidi ya flat screen
Una visa weye!Uwe unaweka betri juani litachaji.![]()


sema hakyamunguHakyanane tena!sema hakyamungu
Basi kesho nitajaribu....nimechoka kupiga hodi kwa watuHakyanane tena!

Majirani wamechoka.Wameleta malalamiko jukwaani kuhusu uombaji wa chumvi na jerojero.Wanaogopa lukupi!😂😂😂😂😂Basi kesho nitajaribu....nimechoka kupiga hodi kwa watu![]()
Natamani kujua wewe ni ke au me ... sorry lakini ili nikupe mbinuHellow JF
Jirani ni mtu muhimu sana kwenye makazi kwa sababu yeye ndiye mtu wa kwanza kukusaidia pale unapopatwa na shida na unahutaji msaada ,ujirani ni muhimu sana kwa binadamu yoyote yule.
Huyu jirani yangu sijui ananijaribu kwa sababu anamtuma sana mwanaye kuja kuomba hapa home kuomba sio kosa kila mtu anahitaji msaada lakini huyu sijamuelewa.
Picha linaanza ikawa inaletwa simu kuchajiwa na kumbuka hapa sisi tumehamia hivi karibuni tu sio wenyeji kabisa kuna siku umeme wetu wa magumashi huu walikata tukawa kwenye Giza siku 2 hamna umeme dogo akatumwa alete simu mama kasema nilite simu ikae tu umeme ukija umchajie,baadaye akaja tena mama kanituma kama una sukari kidogo anaomba.
Siku nyingine akaja mama anaomba kitunguu kimoja kama unacho umpatie.
Jana sasa ndo kali akaja usiku mida ya saa moja hivi mama kasema anaomba umkopeshe mia tano nikamuuliza tena shilingi ngapi amekwambia akasema shilingi mia tano umkopeshe.Aisee Mungu anisamehe tu nikamwambia sina.
Halafu hapo anavuka nyumba kama 3 ndiyo inakuja nyumba ninayo kaa sasa wakat wa story na jiran mwingine akaniambia yaan hiyo nyumba ya chini hapo wakishakuzoea wanaomba hadi kero sabuni ya kuogea wanaomba sabuni ya kuoshea vyombo wanaomba mafuta ya kupakaa wanaomba yaan ni shida ,nikasema duh hapa kazi ipo kama ndiyo hivyo hapa inabidi kuwa kauzu sasa hivi.
Majirani wamechoka.Wameleta malalamiko jukwaani kuhusu uombaji wa chumvi na jerojero.Wanaogopa lukupi!![]()




Hama uswahilini hukoHellow JF
Jirani ni mtu muhimu sana kwenye makazi kwa sababu yeye ndiye mtu wa kwanza kukusaidia pale unapopatwa na shida na unahutaji msaada ,ujirani ni muhimu sana kwa binadamu yoyote yule.
Huyu jirani yangu sijui ananijaribu kwa sababu anamtuma sana mwanaye kuja kuomba hapa home kuomba sio kosa kila mtu anahitaji msaada lakini huyu sijamuelewa.
Picha linaanza ikawa inaletwa simu kuchajiwa na kumbuka hapa sisi tumehamia hivi karibuni tu sio wenyeji kabisa kuna siku umeme wetu wa magumashi huu walikata tukawa kwenye Giza siku 2 hamna umeme dogo akatumwa alete simu mama kasema nilite simu ikae tu umeme ukija umchajie,baadaye akaja tena mama kanituma kama una sukari kidogo anaomba.
Siku nyingine akaja mama anaomba kitunguu kimoja kama unacho umpatie.
Jana sasa ndo kali akaja usiku mida ya saa moja hivi mama kasema anaomba umkopeshe mia tano nikamuuliza tena shilingi ngapi amekwambia akasema shilingi mia tano umkopeshe.Aisee Mungu anisamehe tu nikamwambia sina.
Halafu hapo anavuka nyumba kama 3 ndiyo inakuja nyumba ninayo kaa sasa wakat wa story na jiran mwingine akaniambia yaan hiyo nyumba ya chini hapo wakishakuzoea wanaomba hadi kero sabuni ya kuogea wanaomba sabuni ya kuoshea vyombo wanaomba mafuta ya kupakaa wanaomba yaan ni shida ,nikasema duh hapa kazi ipo kama ndiyo hivyo hapa inabidi kuwa kauzu sasa hivi.
Yaani wanaroga kisa kitunguu? Matumizi mabaya ya uchawi haya. Wataenda motoni kizembe mnoHuyo anakutafutia Visa ukimnyima akuroge.
😂😂😂😂😂Visa tu yaaniYaani wanaroga kisa kitunguu? Matumizi mabaya ya uchawi haya. Wataenda motoni kizembe mno