Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
GL unaposema kuwa masharti ya DC ili kupata misaada nikukosa utu hapo nimekuona kumbe na wewe utu huna.
Unapinga watu kufunga ndoa ya jinsia moja wakati wao huo ndo utu wao. Chama chenu kinaubili Demokrasia,je kuna Demokrasia bila kueshimu haki za binadam and minority rights? Hapa ndo tunasema wanasiasa wengi ni wanafiki zaidi kama wewe GL.
unataka kusema nini Alexism?