Mwl.RCT
Platinum Member
- Apr 5, 2009
- 15,704
- 22,583
- Thread starter
- #661
Habari Ndugu Rlukaku
Weka hizi Taarifa muhimu ili kufanikisha kuuza hiyo receiver yako
Weka hizi Taarifa muhimu ili kufanikisha kuuza hiyo receiver yako
- Je ni mpya au imetumika?
- Kama imetumika AvatarCam Account imebakiza muda gani?
- Je Unapatikana wapi? Lindi, Kigoma au Mwanza?
- Je wakupate vipi? weka mawasiliano yako.
Ninayo Q23g nauza laki na nusu tu...
Last edited by a moderator: