Jipatie miche ya matunda na mbogamboga - gharama nafuu, ubora wa juu

Jipatie miche ya matunda na mbogamboga - gharama nafuu, ubora wa juu

Massenge1

New Member
Joined
Nov 3, 2025
Posts
3
Reaction score
4
Wakulima na wapenda bustani, kama ulikuwa unasubiri nafasi ya kuanza kilimo kwa gharama ndogo na faida ya haraka, hii ndiyo fursa yako.

Ninauza miche bora, inayokua haraka, yenye afya, na inayofaa kwa maeneo mengi ya Tanzania.

🍊 Miche ya Matunda (Kuanzia TSh 2,500 tu!)
Aina zinazopatikana sasa:
  • Embe
  • Parachichi
  • Papai
  • Chungwa
  • Limao
  • Ndimu
  • Chenza n.k

🥬 Miche ya Mboga Mboga (TSh 100 tu kwa kila mche!)
Inapatikana kwa wingi:
  • Nyanya
  • Hoho
  • Pilipili mwendokasi
  • Biringanya
  • Nyanya chungu
🎯 Kwa nini ununue kutoka kwangu?
  • Ubora wa miche ni wa kiwango cha juu - Gharama rafiki
  • Ushauri wa kilimo unapatikana bila malipo
  • Tunatuma popote ulipo Tanzania

Tunapatikana Morogoro, tunatuma miche mikoa yote Tanzania

📞0768976007/ 0779411502

IMG-20251220-WA0018.jpg
IMG_20251216_181557.jpg
IMG_20251212_153104.jpg
IMG-20251205-WA0019.jpg
IMG_20251113_154400.jpg
 

Attachments

  • IMG_20251113_151021.jpg
    IMG_20251113_151021.jpg
    718.3 KB · Views: 9
Back
Top Bottom