M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
mwenye kufahamu rationing ya chakula cha kuku wa nyama si vibaya akiweka hapa jamvini ili wadau wenye kuvutiwa na hii kitu wanufaike.
Ninasikia tu kwamba mahitaji ni dagaa, chokaa/kombe/mifupa, pumba za mahindi, mchanga, damu ya ng'ombe iliyogandishwa n.k.
Asanteni
Ninasikia tu kwamba mahitaji ni dagaa, chokaa/kombe/mifupa, pumba za mahindi, mchanga, damu ya ng'ombe iliyogandishwa n.k.
Asanteni