UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,446
- 5,414
Jamani naomba kupata maelekezo kuna uwezekano kwa mzazi kumchukulia mtoto wako cheti chake cha form four au six kama yeye mwenyewe hayupo nchini na nina documents zote zinazoonyesha hayupo.
Cheti original kinahitajika chuoni alipo. Je, kuna uwezekano wa mzazi kukichukuwa? Na je, utaratibu upoje?
Kama nimeweza kumlipia karo miaka yote hata cheti siwezi kupewa? Jamani naomba mwenye kuelewa utaratibu anisaidie.
Cheti original kinahitajika chuoni alipo. Je, kuna uwezekano wa mzazi kukichukuwa? Na je, utaratibu upoje?
Kama nimeweza kumlipia karo miaka yote hata cheti siwezi kupewa? Jamani naomba mwenye kuelewa utaratibu anisaidie.