Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Mimi hata sikumbuki kwa mara ya mwisho nilituma sms lini!
Mi naona unafuu hapa sio gharama bali ni portability ya simu badala ya PC.
Otherwise, mwingine angeprefer kutumia Skype maana si mtu lazima awe na internet connection?
Bure iko wapi sasa hapo?
Mi naona unafuu hapa sio gharama bali ni portability ya simu badala ya PC.
Otherwise, mwingine angeprefer kutumia Skype maana si mtu lazima awe na internet connection?
Bure iko wapi sasa hapo?