Jinsi ya kutongoza Mwanaume

Jinsi ya kutongoza Mwanaume

Thanks for keeping that under the skin.
Hiyo huitwa mabesthe damu. & Dat image was real me fundi welding... Hahaha.. Adds funny burst into tears Hahaha....
How are you doing anyway....?
am good ase joto sana area za huku vipi nai?
 
am good ase joto sana area za huku vipi nai?
Daaah, bro huku ni baridi, japo ma afternoon kulikua na Ile joto ya jua kuhama,ila tuiituliza na maji za barafu.
 
Naomba nikufate inbox WhatsApp.
Hii mada mbona mwendelezo ya Ile ya Jana? kuwa wanaume sijui vp.
Jamaa kandika thread nyingine kuwa yeye ni mwanaume anaitwa chris mkuu nakusihi usiende whatsapp utapoteza mda wako bure huyu jamaa ni mburula tu
 
kung'ang'ania mwanamme aliye na gf mwngne ni kutojiamini kabisa, cku akikuchoka atakwambia live kuwa ww ni king'ang'anizi, jiamini mwanamke, amini uliumbiwa adamu wako, kwa nn kujidegrade bana, unajua kabisa ana mtu lakin upo tu kama kupe! lol!
 
Jaman naomba kujua namna yakuingia kwenye
Jukwaa la watu wazima wezngu msaada waungwana
 
Jamaa kandika thread nyingine kuwa yeye ni mwanaume anaitwa chris mkuu nakusihi usiende whatsapp utapoteza mda wako bure huyu jamaa ni mburula tu
Ndo maana nimwuliza kwanza wewe jinsia gani akasema mambo ya jinsia Achaea mayo. Anaweza huwa kaka poa au Dada poa masikini. Ahsante kwa ushauri wako. @ jipu.
 
Hivi kuna mwanaume ambae hana mtu kipindi hiki labda tuende shule za primary huko, Kumpata ambae hana ni nadra sana ila kuna wanaume wengine wapo na wanawake lakin hawana mpango wakuwaoa kwasabab moja au nyengine, nadhani tusiogope mtu ambae ana mtu labda awe ameoa ndo tuogope, ilia hawa single ni kutake risk Jiripue kama kishakuwa karibu na wewe na ukafanya kama alivyoagiza mtoa mada, sasa yeye ndo atakuwa na choice akupige na chini sabab ya mchumba wake, au ampige na chini mchumba wake kwa ajili yako au awachezee nyote wawili kitu ambacho iko siku utagundua na maamuzi yatakuwa juu yako sasa kusuka au kunyoa. au kuendelea kusaka, ila inataka moyoa sana mpaka kufikia kusaka wanaume ina maana hakuna wanaokusaka ukajichagulia ukatulia, kama hakuna wanao kufata basi una kasoro na hata hao unaowafata hawatakupenda, wanawake wa hivi wengi wanapenda kuchagua mwisho wa siku ndo huishia kusaka wao .
 
Back
Top Bottom