Daud omar
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,458
- 987
Kesi gani tena mama??Naona unajitoa akili tu hapa
Hivi unajua kuwa una kesi ya kujibu?
Kesi gani tena mama??Naona unajitoa akili tu hapa
Hivi unajua kuwa una kesi ya kujibu?
Kesi gani tena mama??
MCHUNGUZI HURU aisee naona unachunguza sana .... a
Na siye tunaruhusiwa kuvizia dushe??
Ruksa!
heheee! Ntaanza nawewe!!
hahahaha...... naelewa we ni maza wangu nakuheshimu sana bana sina agenda yoyote ileMCHUNGUZI HURU, nakuona na wewe upo upo kwenye anga za mimi maza wako
vipi una kaagenda au ni mtazamo tu;
Ila Nimecheka
Umeifanya siku yangu leo aisee;
Uzi umekaa vizuri sana huu.
Thread hii imekaa kitaalamu sana.Imesheheni kanuni zote muhimu za
saikolojia ya mahusiano.Hongera MCHUNGUZI HURU.
Mweeeh kumbe huwa nafanya technical error aisee