Jinsi ya kutongoza hapa Jamiiforums

Jinsi ya kutongoza hapa Jamiiforums

Hivi kumbe hapa kuna mbun... Nini sijui nyingi sana

I thought hapa ni mahali pa kupeana ushauri kumbe kuna watu wanatoa?

Mchunguzi hebu niambie,akina nani wanagawa?

Hata shule watu huwa wanaenda kusoma lakini hata mbunye wanapeana kama kawizi
 
Aaaaah kumbe ndo hivyo?Ngoja na mie nianze kushusha mtongozo
 
hii siread ina mashiko ngoja vijana wajaribu.Ila DEMBA,nimeona umekoment ila kama sijakuelewa! Au nikurudishe kwe svoca analsisy?
 
Mchunguzi umepatia sana,hivi ID za wadada zinajulikanaje?.tafadhali Mchunguzi nitonye na mm nianze kazi mara moja.
 
Huu uzi umenifanya nicheke tu ila no comment...
 
kama unasoma vema michango ya watu mbona unapata nyuchi tena kwa kuchagua
 
MCHUNGUZI HURU mbona hujawapa warning ya multiple IDs?? wanaweza kujikuta wanatongoza mtu mmoja mara tano!!!!
 
Last edited by a moderator:
Haswaaaaa..
Lazma mtoto wa kike umpetipeti kwanza.... Mpake mafuta mpaka alainike then unamwaga vesi....

Sio leo tu, kesho "nakupenda" wajidhalilisha mno sema hujui.....
 
No idea create one hahahaha.Huyu jamaa alipitia huku huku ndio maana uchunguzi wake unafanana na ukweli.:A S-eek:
Sasa mwendo kum like mtu every time.
 
saluti kwako MCHUNGUZI HURU :

Jamaa umetafuta KIKI mpk Ukaipata........


Safi sana: Viva Cowboy Na chunguzi zako zidumu....
 
Back
Top Bottom