Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Kufanya Astral Projection ni sawa na kununua chombo cha moto kama vilivyo vitu vingine lazima tu ukikitumia vibaya au ikiwa mwenyezi mungu Kapanga upitie huko ndio utapitia huko lakini, kulala usingizi nayo ni hatari kwa maana kuna mengi yanaweza kukuzulu ukiwa usingizini, hata heart attack inaweza kusababishwa na mtoto wako mwenyewe akikuijia vibaya hivyo mazingira yote yanayotuzunguka ukienda nayo vema ni rafiki na ukienda nayo vibaya ni adui, kuna watu wanaugua wakikosa umeme lakini huo huo unaweza kukuua na pia kuna watu wanapenda sana kunywa maji, pia hayo hayo yanaweza kukumaliza, chochote ukijifunza vema basi utacheza nacho salama

Rakims
 
wadau kuna yyte amewahi jaribu hii kitu baada ya kusoma miongozo ya rakims humu? nataka binafsi ator ushuhuda ilikuaje.

mimi binafc huwa sina nia ya kufanya ila hii hali hunijiaga automatic siku nyengine...najihisi hasa kama mwili umegawika mara mbili lkn najitahidi kama kujitingisha ili ule.mwili mwngine uje ujivalishe mwilini...japo huwa sijioni live km inavoelezwa hapa huwa kama nipo ndotoni, lkn wakt nilipolala najihiisi km nna fahamu zangu na kule ndotoni nayaona matukio mengine...sasa kule ndotoni huwa kunatokea kama vitisho fulani hivi ambavyo ndo hunifanya nikimbie nirudi huku nilikolala...hali huwa mbaya sana maana kama huwa kama mwli umeganda cwezi kufanya chochote but after few seconds nakaaa sawa hlf najigeuza nafumbua macho...hlf mwili kama unakuwa unasisimka hivi.

hlf hali hii ikinitokea huwa nasikia sauti ya ajabu sana yani mithili ya ndege inayotaka kupaa au kutua...yani ule mvumo wake wa ndege...ati zwiiiiiiiiiiih
 
wadau kuna yyte amewahi jaribu hii kitu baada ya kusoma miongozo ya rakims humu? nataka binafsi ator ushuhuda ilikuaje.

mimi binafc huwa sina nia ya kufanya ila hii hali hunijiaga automatic siku nyengine...najihisi hasa kama mwili umegawika mara mbili lkn najitahidi kama kujitingisha ili ule.mwili mwngine uje ujivalishe mwilini...japo huwa sijioni live km inavoelezwa hapa huwa kama nipo ndotoni, lkn wakt nilipolala najihiisi km nna fahamu zangu na kule ndotoni nayaona matukio mengine...sasa kule ndotoni huwa kunatokea kama vitisho fulani hivi ambavyo ndo hunifanya nikimbie nirudi huku nilikolala...hali huwa mbaya sana maana kama huwa kama mwli umeganda cwezi kufanya chochote but after few seconds nakaaa sawa hlf najigeuza nafumbua macho...hlf mwili kama unakuwa unasisimka hivi.

hlf hali hii ikinitokea huwa nasikia sauti ya ajabu sana yani mithili ya ndege inayotaka kupaa au kutua...yani ule mvumo wake wa ndege...ati zwiiiiiiiiiiih
Mkuu sio kila hali kati ya hali hizi ni AP hapana zingine ni vimbwanga vya mashetani na wachawi

Rakims
 
Mkuu sio kila hali kati ya hali hizi ni AP hapana zingine ni vimbwanga vya mashetani na wachawi

Rakims
kwa hali inayonitokea cdhani kama ni hali ya vimbwanga au uchawi...huwenda ni hii mechanism ya AP na hasa nikihusisha na bandiko lako hili,kwa hatua ulizozitaja na hali ambazo husema mtu humtokea.

halafu Mkuu ebu nidokeze kidogo,kuna faida za msingi kweli kufanya huu mchezo,yani katika maisha halisi...itanisaidia vipi yani au ni km game tu unacheza hlf kila kitu kinaishia huko huko.?
 
Never give up , its really interesting,easy,enjoyable and stress relief but above all it is a cure.make sure your thoughts are moral not sinister, kuna kitabu kinaitwa "nguvu ya akili"/ameielezea kwa kiswahili vizuri sana for the biginners,kitafute kitakusaidia.
Guys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
 
Mi nina mdogo wangu wa kike, kuna kipindi fulani alikuwa akilala usiku anastuka hali ya kuwa yupo usingizini anatoka kitandani anafika hadi mlangoni kama anataka kutoka nje halafu anarudi kitandani

Au wakati mwingine anatembea hatua chache kutoka kitandani halafu anarudi tena kula kama zombie flani hivi hata ukimsemesha haelewi nikawa najiuliza sanaa siku akifanikiwa kufungua mlango bila sisi kusikia ataenda hadi wapi? Lkn sikuizi haamki usiku tangu awe mdada mkubwa.

Hebu mkuu rakims nisaidie hii inahusiana na hiko ulichokieza hapo juu?
Hakuna uhusiano, kuhama kiakili ni wishfulness au willingly acting.
 
wadau kuna yyte amewahi jaribu hii kitu baada ya kusoma miongozo ya rakims humu? nataka binafsi ator ushuhuda ilikuaje.

mimi binafc huwa sina nia ya kufanya ila hii hali hunijiaga automatic siku nyengine...najihisi hasa kama mwili umegawika mara mbili lkn najitahidi kama kujitingisha ili ule.mwili mwngine uje ujivalishe mwilini...japo huwa sijioni live km inavoelezwa hapa huwa kama nipo ndotoni, lkn wakt nilipolala najihiisi km nna fahamu zangu na kule ndotoni nayaona matukio mengine...sasa kule ndotoni huwa kunatokea kama vitisho fulani hivi ambavyo ndo hunifanya nikimbie nirudi huku nilikolala...hali huwa mbaya sana maana kama huwa kama mwli umeganda cwezi kufanya chochote but after few seconds nakaaa sawa hlf najigeuza nafumbua macho...hlf mwili kama unakuwa unasisimka hivi.

hlf hali hii ikinitokea huwa nasikia sauti ya ajabu sana yani mithili ya ndege inayotaka kupaa au kutua...yani ule mvumo wake wa ndege...ati zwiiiiiiiiiiih
Huwa nafanya Mara nyingi tuu tangu O level ,kwa yeyote aliyejifunza "yoga" na "dini" hiyo topic ya astral body projection IPO ktk meditation, ni tiba nzuri ,angalizo; be moral in doing that don't do it for evil reasons .
 
Napenda aana kufanya A.P ila nikifika katika sleep paralysis uwoga unakuja sijui unatokea wapi......
 
Napenda aana kufanya A.P ila nikifika katika sleep paralysis uwoga unakuja sijui unatokea wapi......
lazim uoga uje maana c hali ya kawaida..ila uifanikiwa kutoka siku 1 tu ndo basi tn uoga unaondoka na ndo utakuwa mchezo wako huo.
 
kwa hali inayonitokea cdhani kama ni hali ya vimbwanga au uchawi...huwenda ni hii mechanism ya AP na hasa nikihusisha na bandiko lako hili,kwa hatua ulizozitaja na hali ambazo husema mtu humtokea.

halafu Mkuu ebu nidokeze kidogo,kuna faida za msingi kweli kufanya huu mchezo,yani katika maisha halisi...itanisaidia vipi yani au ni km game tu unacheza hlf kila kitu kinaishia huko huko.?
Nimeweka faida zake hapo mkuu
 
Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenu, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.

Masharti ni haya.
  1. Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa funguo, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha kwa kukutingisha kwa nguvu na kuchange ile position yako hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
  2. Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ya astra plane ndio bora zaidi kuliko real world, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, wewe ni safari jumla!.
  3. Hizi ni highest stages za meditation ambazo haziruhusiwi kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari jumla!.
  4. Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening up the "third eye!"
  5. Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Wito wangu mimi wa wafuatiliaji wa haya makitu, kama hujui unataka nini, au utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do it!. Mtu asikudanganye kuwa its very fun to go out of body, is not fun!. Too much knowledge on anything is harmful, please don't try unless you are sure what you are trying to do!.

Paskali
Hii mbona km ngumu kidogo... njia nyingine ni ipi hy?
 
Back
Top Bottom