Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 4,982
- 4,481
- Thread starter
- #1,521
Kufanya Astral Projection ni sawa na kununua chombo cha moto kama vilivyo vitu vingine lazima tu ukikitumia vibaya au ikiwa mwenyezi mungu Kapanga upitie huko ndio utapitia huko lakini, kulala usingizi nayo ni hatari kwa maana kuna mengi yanaweza kukuzulu ukiwa usingizini, hata heart attack inaweza kusababishwa na mtoto wako mwenyewe akikuijia vibaya hivyo mazingira yote yanayotuzunguka ukienda nayo vema ni rafiki na ukienda nayo vibaya ni adui, kuna watu wanaugua wakikosa umeme lakini huo huo unaweza kukuua na pia kuna watu wanapenda sana kunywa maji, pia hayo hayo yanaweza kukumaliza, chochote ukijifunza vema basi utacheza nacho salama
Rakims
Rakims