Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

**** you Rakim nimepractice nimeshindwa kulala so how to come back cuz I got fear, fear of disappear in the real world because even witch hunters may capture me.
and people are preparing to break door to get in and send me rest in peace please help me to avoid this condolence oh my God I want to die natural and not by means of disappearing
This is all bullcrap pal.
you ain't capable of doing such a thing.
my suggestions to you is STOP WATCHING these Holywood rubbish na usichue utumbo wa entertainment wa Holywood ukadhani ni reality.

acha kabisa kuidanganya nafsi yako kuwa una uwezo wa kutoka nje ya mwili wako.
unless unaongelea ndoto.
 
nitaulete huo mrejesho mkuu hapa hapa kwenye Tuesday noo at Jf.
Jamani mkiona huyu kimya no post no comments no likes jua tayari kakutana na witch hunters wa hatari sababu ukijua nyuma watu wanajua mbele, wachawi tu wakijua wanaondoka na kiwiliwili halisia na hapo utakapotamani kuzimu na dhana ya kutumikia ili ufe kifo cha kawaida. misukule inahangaika namna ya kufa but wapi hawafi nyie kufa raha mungu hakuweka kijingajinga
 
mkuu kwanza maelezo ya huyo bwana hapo juu yapo vema na yapo sawa.... kwa jibu la swali lako ni kwamba... Spirit Ukiwa Out Of Body Ni Sawa Na Unavyokuwa IN body Lakini Utakuwa Unaexperience Kitu Kipya Kwanza Ukiwa Astral Ni Sawa Na Hewa Tu.. Waweza Kupita Kati Ya Ukuta N.K pia Kuhusu Speed Labda Nikupe mfano km 10000 per second ila pia Sidhani kama ni hiyo Maana Ni Speed isiyo elezeka ukiwa in astral huoni kama ni speed kali lakini ukitoka ukaanza kukumbuka ndio unaona ni speed gani ulitumia.. pia unapofanya AP Unakuwa ni wewe tu kugeuka kama kawaida kukimbia kuongea kucheka kama wewe unahitaji mazoea tu ya kujizoesha kupaa na kupita kwenye kuta n.k

takupa mfano hai....
mimi siku naanza kufanya sikupata result nililala fofofo tu siku ya pili ya tatu ya nne ndio nilifikia sehemu ya kutoka out of body nilikwama maana nilitokea kwenye kichwa umbali wa masikio kila nikijaribu kutoka uvutano unazidi sawa na ule uvutano ukitaka kurudi kwenye mwili kwa wanaofanya wanajua... nilichokosea nilifanya kama kurazimisha kutoka ndio ikanishinda nguvu ikanirudisha sikukata tamaa the next day nikamwambia teacher akanielekeza vema tu siku mbili zilizofuata nikaweza kutoka kasheshe ilikuja tena kwenye kupaa dah! Unaruka juu unajikuta chini ukipiga tambo kama upo mwezini sijawahi kwenda mbali sana wana kutoka nje ya dunia....
Tino100
Mkuu ulikutanaje na huyo mwl? tulio mbali nawezaje pata mwl?
 
This is all bullcrap pal.
you ain't capable of doing such a thing.
my suggestions to you is STOP WATCHING these Holywood rubbish na usichue utumbo wa entertainment wa Holywood ukadhani ni reality.

acha kabisa kuidanganya nafsi yako kuwa una uwezo wa kutoka nje ya mwili wako.
unless unaongelea ndoto.
kama hakuna kitu zaidi ya Hollywood basi nikifanya nothing can happen or experience. Sasa kwa nn unipe onyo na katazo la kutojaribu? you made me believe this son
 
Mi nilishawahi kutoka Mara mbili ila sikuwahi kurudia tena!
Na sikuenda mbali zaidi ya kuzunguka juu ya paa na kutoka nje kidogo!!
Vitu nilivyoona vilinitisha mno!
Kwa wale wanaofahamu darasa la kuinua vibration ya mwili spiritual practices kwao huwa ni rahisi sana na wanaweza fanya lolote lakini kama unapractice na hujui ku high na kuseal aura basi hata ukifanya meditation mbele ya guider utakuwa bado unaogopa tu, na uki master vema meditation na AP basi unakuwa multiple places at same time hata mtu akisogelea mlango wako au mwili wako unamskia na pia kule AP unakuwa kama mithili ya mtu aliyevaa earphone na pia unaweza ukaenda past the same time present the same time future

NB: uoga na elimu ndogo ndio vinavyofelisha wengi first rule to perform spiritual practices is Relaxation and Understanding lakini kama utaanza na Experience umeshafail mkuu

pasco
Mshanajr
MziziMkavu

Na wengine ambao walishapractice hayo wanajua hilo
Nothing comes easy without tests

Rakims
 
Hapana mkuu.
Meditation inanitosha na sitoenda zaidi ya hapo.
Toka nimeanza meditation kuna faida nyingi sana nimeziona
Thanks mkuu Pascal na wadau wengine
Biblia iko wazi; tafuteni ufalme wa kimbingu na hayo yote mtazidishiwa .... lakini binadamu wanahangaika kutafuta hayo yote!
 
Biblia iko wazi; tafuteni ufalme wa kimbingu na hayo yote mtazidishiwa .... lakini binadamu wanahangaika kutafuta hayo yote!
Meditation humsaidia mtu kuwa karibu na imani ya Mungu wake mkuu
 
Guys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
Hahahahahahaha tupe uzoefu mkuu
 
Rakims naomba kuuliza
Kuna mda nakuwa nimelala afu inakuwa kama ndoto naota lakini katika ndoto nakuwa nahisi baridi ya ukweli yaani nahisi baridi haswaa napata hofu fulani then najiambia bora niamke napambana kwa kujiambia kisha naamka
any realtion?
kwamba may be naweza jipa ujasiri ikawa kama ndio hiii?
 
Aiseee Wazee wakubeti hii kitu inawahusu unakaa kule hadi matokeo ya timu uyaone ukirudi huku
unabeti unakula mihela ya kanji karibu yoooooote yaaani
 
Khalifavinnie Mkuu mimi nilikuwa natumia app nilipata shida kama wewe
ila nilipoanza kutumia web basi hio hali haipo tena niliitoa kabisa app ya jf so natumia katika pc, nadhani ni tatizo lao huko lakiufundi kuhusu app
afu shida nyingine now unaweza kupost uzi afu hauonekani kabisaaa
 
Back
Top Bottom