Jinsi ya kutengeneza logo

msangi360

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
283
308
h+bCmoLEF0V8wAAAABJRU5ErkJggg%3D%3D.jpg

Kwanza kabisa nawasalim wote mliomo humu.
Ningependa tujuzane kitu kidogo hapa juu ya ishu ya kutengeneza logo. Nimewahi kusumbuliwa sana na watu wakitaka niwatengenezee logo za biashara zao ila mwisho wa siku nikawa sifaham chochote na kuwacha wakaenda zao huku naendelea kubaki bila kufaham ni namna gani logo huwa inatengenezwa.
Nimefika mda nimeona nije kwenu niombe msaada ni namna gani logo huwa inatengenezwa, au ni software gani huwa inatumika kutengenezea logo.
Anaefaham jaman naombeni tusaidiane maana najua ishu ya kutengeneza logo nayo ni ajira.
Karibuni
 
Logo (Nembo) hutengenezwa kwa software mbalimbali kama vile, Adobe illustrator, Adobe photoshop, Cinema 4D, Coral Draw na software zingine nyingi, hizo nilizokutajia ndio software muhimu zaidi. Kikubwa kabla ya kutengeneza Logo unapaswa kua na utaalamu yani (skills) kwani hii ni taaluma kama taaluma zingine unapaswa kuzifahamu hizi software kiundani pia kufahamu mbinu mbalimbali za kubuni Logo kwani kubuni pia ni utaalamu tofauti na kujua kuitumia software sababu kwa watu huweza kuitumia software vizuri lakini hawana ubunifu wa kutengeneza Logo. Naweza kukusaidia na kwa yeyote anayehitaji huduma hii anione. Mafunzo ni wiki moja unapata ujuzi ambao utaenda kujiajiri.
  • Utaweza kutengeneza Logo mbalimbali za Makampuni, Taasisi, Bidhaa N.k
  • Pia Utaweza kutengeneza Logo kwa ajili ya Tshirt Printing.
Kwa Maelezo zaidi pamoja na Mawasiliano tembelea ukurasa wetu wa Instagram. @gt_printers@degramagps1@degramagps1@degramagps1 @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers@degramagps1
Angalizo: Mafunzo haya sio Bure Maana mwenyewe yalinigharimu kuyapata hivyo utapaswa kuchangia Tsh: 60,000/= ikiwa pamoja Software mbili yaani Adobe ullustrator na Adobe Photoshop.

HAPO CHINI NI MIONGONI MWA KAZI ZETU
 

Attachments

  • NDATO WATERMARK001.jpg
    NDATO WATERMARK001.jpg
    460.9 KB · Views: 210
  • semha for doc.jpg
    semha for doc.jpg
    107.6 KB · Views: 247
  • VIMA logo 002.jpg
    VIMA logo 002.jpg
    432.4 KB · Views: 279
  • logo.png
    logo.png
    140 KB · Views: 233
  • Hasweswe enterprises company.png
    Hasweswe enterprises company.png
    295.2 KB · Views: 213
Logo hutengenezwa kwa software mbalimbali kama vile, Adobe illustrator, Adobe photoshop, Cinema 4D, Coral Draw na software zingine nyingi, hizo nilizokutajia ndio software muhimu zaidi. Kikubwa kabla ya kutengeneza Logo unapaswa kua na utaalama yani (skills) kwani hii ni taaluma km taaluma zingine unapaswa kuzifahamu hizi software kiundani pia kufahamu mbinu mbalimbali za kubuni Logo kwani kubuni pia ni utaalamu tofauti na kujua kuitumia software sababu kwa watu huweza kuitumia software vizuru lkn hawana ubunifu wa Logo. Naweza kukusaidia na kwa yeyote anayehitaji huduma hii anione. Mafunzo ni wiki moja unapata ujuzi ambao utaenda kujiajili.
*Utaweza kutengeneza Logo mbalimbali za Makampuni, Taasisi, Bidhaa N.k
*Pia Utaweza kutengeneza Logo kwa ajili ya Tshirt Printing.
Kwa Maelezo zaidi pamoja na Mawasiliano tembelea ukurasa wetu wa Instagram. @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers
Angalizo: Mafunzo haya sio Bure Maana mwenyewe yalinigharimu kuyapata hivyo utapaswa kuchangia Tsh: 60,000/= ikiwa pamoja Software mbili yaani Adobe ullustrator na Adobe Photoshop zote ni Latest.
Shukrani Mkuu kwa hii taarifa, umenifungua kitu
 
kalamu na karatasi inatosha kabisa kutengeneza logo, software zinarahisisha tu kazi, mtengeneza logo anatakiwa awe na imagination na kipaji aweze kueka kampuni nzima kwenye picha ndogo itakayoelezea maana yote. kuweza kutengeneza tu picha hakuifanyi iwe logo bora.

rangi, maumbo, fonts zote zina maana kwenye logo
 
Logo hutengenezwa kwa software mbalimbali kama vile, Adobe illustrator, Adobe photoshop, Cinema 4D, Coral Draw na software zingine nyingi, hizo nilizokutajia ndio software muhimu zaidi. Kikubwa kabla ya kutengeneza Logo unapaswa kua na utaalama yani (skills) kwani hii ni taaluma km taaluma zingine unapaswa kuzifahamu hizi software kiundani pia kufahamu mbinu mbalimbali za kubuni Logo kwani kubuni pia ni utaalamu tofauti na kujua kuitumia software sababu kwa watu huweza kuitumia software vizuru lkn hawana ubunifu wa Logo. Naweza kukusaidia na kwa yeyote anayehitaji huduma hii anione. Mafunzo ni wiki moja unapata ujuzi ambao utaenda kujiajili.
*Utaweza kutengeneza Logo mbalimbali za Makampuni, Taasisi, Bidhaa N.k
*Pia Utaweza kutengeneza Logo kwa ajili ya Tshirt Printing.
Kwa Maelezo zaidi pamoja na Mawasiliano tembelea ukurasa wetu wa Instagram. @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers @gt_printers
Angalizo: Mafunzo haya sio Bure Maana mwenyewe yalinigharimu kuyapata hivyo utapaswa kuchangia Tsh: 60,000/= ikiwa pamoja Software mbili yaani Adobe ullustrator na Adobe Photoshop zote ni Latest.
NIPO TAYARI KWA MAFUNZO..JE UNANIFUNDISHIA WAPI?
 
Hii kitu ni professional sema tunachukulia poA.
Na logo inabidi iambate na package ya vitu vingine ikiwemo colour definition, letter heads n.k n.k....
Sema kisela sela tu tunatengenezeana
 
NIPO TAYARI KWA MAFUNZO..JE UNANIFUNDISHIA WAPI?
Mafunzo yanatolewa Ofisini, Tupo Mbezi luis (Mbezi ya Kimara), kwa wakazi wa Dar es salaam, ni Rahisi zaid ukifika Mbezi ya Kimara kituoni, Tupigie simu tutakufata ulipo. +255 657 729 394.
 
Back
Top Bottom