Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 548
- 475
Uzi umetulia kiongozi.
Sio makinikia?madini matupu mzee
Exactly...Kongole mkuu
Kuna siku nimeingia shop ni Duka la viatu tupu,kuna mdada alinipa Sana ushirikiano katika kuniletea pea mbali mbali mwisho wa day,,,nikaona pea mbili zote nimezielewa nikawa sijui nichague ipi?
Mdada akaniambia broo chukua hiki hapa kimekupendeza kutokana na mwonekano wako,na sijajutia coz hata Mimi nimekielewa Sana,nikamwacha na hela ya soda kabisa.
Hapana mkuu, na pia hawawezi kukufanya mbaya maanake una mbinu mbadala za kushawishi.Hahaha kweli niende?, usije ukanitelekeza kwa waarabu wanfanye mbaya😆