mkuu ukipata jibu nitagWanasayansi Nisaidieni Namna ya Kupiga simu kupitiaa Modem yaani ni instal app gani kwenye PC ili nieze kueza ata kuunga kifurushi au kuingiza Vocha na Kupiga simu kupitiaa Hapo!
Ahsanteni!
Ni Airtel.....Huawei Mobile BroadBandbadili dashboard itakubali,
test hii
Download Huawei Mobile Partner 23.009.09.01.983 with All features enabled - routerunlock.com
modem chache sana ndio haziwezi piga simu.
hio ni ya huawei kama una modem nyengine sema
You Always Give Smart Answers, Bro!!!!Inategemea na aina ya modem...kuna zingine zinakuwa na feature ya kupiga simu na nyingine hazina..kuhusu app sijajua ngoja wanaofahamu waje kuelezea kiundani
ile software ya modem, jaribu hio hapo juu, toa uliyonayo.afu dashboard ni nini kakaa!
umei extract? maana ni file la .rar ndani umeangalia kuna nini?Imekataa maana nme uninstall ila bado nlodownload kwa hio link haikubal
Post sent using JamiiForums mobile app
yah ifungue sasa, hamna option ya call?nime exract na kuinstal na imeingia kama mobile partner ina icon kama kijani mpauko!
umetengeneza setting? itabidi ueke upya apn na dial number,Hata kuconnect haitak
pia kupiga simu si lazima iconect hapo juu we bonyeza tu kialama cha simu.Hata kuconnect haitak
Yeah ndio hivyo mkuu, unajaribu kushea kile kidogo ulichonacho ili kumsaidia mhusika, na mwingine kama ana habari kamili ndio hivyo anamsaidia...Kama kitu huwa nina idea nacho huwa sisiti kumpa msaadaYou Always Give Smart Answers, Bro!!!!