Kwenye maisha ili uheshimike lazima ujenge misingi ya kuheshimika
Fanya hivi kupandisha statusa yako.
1)Vaa ki maridadi usivae kibishoo wala ki local local.
2)Usipende ku chat chat hovyo kwenye group.
3)Usipende kujibu jibu hovyo meseji za watu hata kama wanakufata inbox.
4)Kula vizuri.
5)Fanya mazoezi ya hapa na pale kuweka mwili sawa.
6)Tengeneza mazingira ya kutomtegemea mtu hata upate na shida kiasi gani.
7)Fanya maisha yako kuwa ya siri sana.
8)Usipende kuweka posts nyingi whatsup status.
9)Usipost vitu negative whatsap status .
10)Usipende Ku view view mara kwa mara status za watu.
Fanya hivi kupandisha statusa yako.
1)Vaa ki maridadi usivae kibishoo wala ki local local.
2)Usipende ku chat chat hovyo kwenye group.
3)Usipende kujibu jibu hovyo meseji za watu hata kama wanakufata inbox.
4)Kula vizuri.
5)Fanya mazoezi ya hapa na pale kuweka mwili sawa.
6)Tengeneza mazingira ya kutomtegemea mtu hata upate na shida kiasi gani.
7)Fanya maisha yako kuwa ya siri sana.
8)Usipende kuweka posts nyingi whatsup status.
9)Usipost vitu negative whatsap status .
10)Usipende Ku view view mara kwa mara status za watu.