jamani wataalam wa maswala ya ngozi plz naomba msaada au wale wadada wa issue za urembo nisaidieni namna ya kuondoa haya madoa ya kuungua na juanaombeni msaada kwa anayejua dawa ya kuondoa madoa yatokanayo na kuungua kwa jua usoni hasa maeneo ya chini ya macho
jamani wataalam wa maswala ya ngozi plz naomba msaada au wale wadada wa issue za urembo nisaidieni namna ya kuondoa haya madoa ya kuungua na jua
tumia vipodozi vya Oriflame..hutojutia!tuwasiliane 0655868643jamani wataalam wa maswala ya ngozi plz naomba msaada au wale wadada wa issue za urembo nisaidieni namna ya kuondoa haya madoa ya kuungua na jua
Tumia udongo wa ant Zainab ni koboko, anaweza fanya scrub yenye apricot mara kwa mara.
Habari wapendwa!
Naomba kuuliza aina ya dawa au mafuta yakutoa mabaka baka ya cream kwa mwanamke kama ikimkata, asante na dada anatatizo hilo.
Huyo mwenye chunisi inamaana USO wake unamafuta mengi,chemsha maji yamoto alafu jifukize mvuke wake
wangu tumia Shahawa ya mwanaume kupaka usoni. Hutoamini nakwambia inatoa chunusi harara makovu hata mabaka usoni. Pakaa shahawa uso mzima kaa kwa dakika 10 then nawa na sabuni.Habari wapendwa!
Naomba kuuliza aina ya dawa au mafuta yakutoa mabaka baka ya cream kwa mwanamke kama ikimkata, asante na dada anatatizo hilo.