Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jamani na mimi nina makovu ya vipele vya chunusi kwani yameacha alama nyeusi kwenye ngozi msaada kwa anayejua tiba kuondoa makovu ya chunusi
 
Jamani na mimi nina makovu ya vipele vya chunusi kwani yameacha alama nyeusi kwenye ngozi msaada kwa anayejua tiba kuondoa makovu ya chunusi

Karibu ujipatie Udongo asilia UNAOTIBU matatizo mbalimbali ya ngozi
 
Karibu ujipatie Udongo asilia UNAOTIBU matatizo mbalimbali ya ngozi

nitapata wapi huo udongo? nipo Moshi serious nauhitaji kama unahakika utasaidia hata kama leo unifikie nipo tayari
 
Zainab nahitaji huo udongo ila cjui km unaondoa makovu ya kuungua?
 
Habari za jioni wanaJF,

Kwa anayehitaji dawa ya kutoa madoa doa usoni yatokanayo na chunusi na pia dawa ya kuondoa chunusi.
Wa mikoani pia wanapata siku inayofuata baada ya malipo


Tafadhali piga 0752976792
Ubarikiwe sana.

Karibuni Sana..
 
Sasa mimi hapo ndo nashindwa kuelewa.
Wale wa mikoani walipe kabisa hela ndio utume mzigo.
Haya ukiniwekea maji ya uhai nitakushitaki wapi?
Akili kumkichwa.
 
Sasa mimi hapo ndo nashindwa kuelewa.
Wale wa mikoani walipe kabisa hela ndio utume mzigo.
Haya ukiniwekea maji ya uhai nitakushitaki wapi?
Akili kumkichwa.

Nimeshafanya biashara hii na wateja wengi wa mikoani ambao wanaweza wakatoa feedback kuhusu hilo..kiharaka haraka ukiiona hii post unaweza ukasema ndo wale wale..nitafute tuwasiliane nikuaminishe.
Jioni njema wana Jf
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom