Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,884
Kuna kitu ulitumia ambacho hakikukupenda........Nina miaka 30 sasa. Hili tatizo lilinipata nikiwa na miaka 27 hadi sasa
Usipake vitu vingi kwa wakati mmoja......
Kuna kitu ulitumia ambacho hakikukupenda........Nina miaka 30 sasa. Hili tatizo lilinipata nikiwa na miaka 27 hadi sasa
Yummie, Asante sana. Ni kweli, sijaupumzisha uso huuKutokana na kuapply a lot of chemicals hadi sasa,nadhani,u should give a break to your face kwa muda hivi nadhani huenda ikasaidia. Inaonesha inakukera sana uso huupumzishi,safisha uso kwa maji vuguvugu na sabuni zisizo na kemikali kisha upake mafuta ya nazi asubuhi na jioni.
Jamani ndugu zangu, dada yenu ninakuja kwa heshima kubwa kuomba msaada wenu, japo wa mawazo tu.
Nimetokewa na mabaka meusi usoni (katika mashavu). Mabaka hayo yamechanganyika na chunusi mwaka wa tatu sasa.
Nimejaribu kutumia dawa na vipodozi mbalimbali lakini sijaona mafanikio yoyote.
Miongoni mwa madawa/vipodozi nilivyotumia ni sonaderm cream, Safi cream, epiderm cream, bidhaa za Forever Living, bidhaa za Oriflame, bidhaa za Grace (Zoazoa), asali na mayai na nyingi nyingi nyingi.
Pamoja na kutumia madawa na vipodozi hivyo, bado tatizo lipo pale pale.
Ninaleta kwenu tatizo langu, nisaidieni. Maana ninaanza kuichukia sura yangu.
Nitumie dawa gani? Nipo tayari kwa bajeti yoyote
Picha nimeambatanisha hapo chini.
Asante. Nitazingatiaacha kula vyakula vya mafuta kabisa kwa wiki kma tatu kwanza kunywa maji kabla ya msosi wako wowote na asubuh unywe maji glass moja tu
navyoomaanisha uache kula vyakul vya mafuta acha kabis we kula vitu vya chemsho hata wali ukipiki basi vikombe viwil kijik kimoj am serious achan na vyakula vya mafuta
Dr Preta extractors ndo zipi hizoUnatakiwa upake vitu vya oily skin......ukiongeza mafuta juu ya ngozi yenye mafuta inablock pores na ndio chunusi zinazidi......tafuta cleanser.....toner (kwa ajili ya kutight hizo pores zisiingize uchafu).....halafu cream ya oily skin.....usipake lotion au kunawia sabuni ya marashi usoni....osha uso kwa maji baridi au vuguvugu lakini sio Moto......usitumbue chunusi zinaacha mabaka......tumia extractor kuzitoa.......
Kuna cleanser ya kusafishia ngozi ni nzuri sana yani sana nishawahi kuitumia ila nlikua naletewa from dubai sijui kama hapa ipo sijawahi kutafuta inaitwa "Brunoversaries" ya kusafishia tu na ngozi inakua nzuri kama unaweza ipata bila shaka itakusaidiaNina miaka 30 sasa. Hili tatizo lilinipata nikiwa na miaka 27 hadi sasa
Kweli eeeh!! Kwa hiyo nilitakiwa nipake vya dry skin? Au combination ya oily na dry!!!?
Pole dada zingatia ushauri/maelekezo ya specialist wa ngozi ukipewa dawa ukatumia alafu haijakusaidia unaridi kwa aliekupa hizo. Too much trials is not healthy
Kama madukani kwetu hakuna, ninaweza kununua hata onlineKuna cleanser ya kusafishia ngozi ni nzuri sana yani sana nishawahi kuitumia ila nlikua naletewa from dubai sijui kama hapa ipo sijawahi kutafuta inaitwa "Brunoversaries" ya kusafishia tu na ngozi inakua nzuri kama unaweza ipata bila shaka itakusaidia
Kamuone Dr wa ngozi afu usiwe unapaka mchanganyiko wa vitu vitu usoni pole
wait nitafute online afu nitakujulishaKama madukani kwetu hakuna, ninaweza kununua hata online
Sawa. Asante sana.wait nitafute online afu nitakujulisha
Sawa. Asante sana.
Ohooo......ndio hizi hapa......Dr Preta extractors ndo zipi hizo
View attachment 316325
Hii hapa, ukiipata hapa kwetu naomba unijulishe pia