Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Mimi ninafahamu namna ya kuyaondoa mabakamabaka yanayokuwa mwilini kwa kutumia lishe asilia. Kwa msaada waweza kuniandikia ujumbe katika ishealthy@hotmail.com
 
nilikuwa na chunusi usoni sasa chunusi zimekwisha yamebaki mabaka meusi nimetumia nyia nyingi kuyatoa lakini imeshindikana naombeni msaada
 
Rub gently with cucumber then after half an hour rinse with warm water. Do it at least 3 weeks.Or pm me your mobile number for further details.
 
nijibu aya maswali nikupe dawa, je ngozi yako ni oil au sio? pia we ni maji ya kunde, mweusi sana au brown?
 
Habari JF,

Naomba msaada wa kujua dawa au mafuta ya kuondoa madoa na makovu katika mwili. Mwili wangu una makovu ya kuumia na niliwahi kupata tetekuwanga, hivyo nilivyopona makovu mengine hayakuisha. Mengine yapo hadi usoni.

Msaada wanaJF
 
Bio oil ndugu yangu, kachupa saizi ya kati inauzwa 25,000. Yanapatikana Pharmacy ama kwenye maduka ya Vipodozi.
 
Hizo alama haziondoki ndugu yangu, usidanganywe na mtu!! Hata mimi nilipata tetekuwanga lakini nashukuru Mungu hazikuwa nyingi na sikujikuna sana!
 
Tumia Bio Oil na alama zitaisha sidhani kama kuna binadamu ambae hajaumwa na tetekuwanga, hata mimi niliumwa na ngozi yangu iliharibika sana kwa hizo tetekuwanga, niliposhauriwa nitumie BIO OIL, madoa yote yakaisha na nikabaki kuwa soft kama kawaida!!
 
Bio oil inategemea ndugu yangu... Inaweza ikafanya kazi au ikadunda. Kwa kweli it depends.
 
Salam za dhati kwenu nyote ,nina iman hapa hakiharibiki kitu yanaleta kero na kunyima uhuru hasa ktk kund la watu wenye ngozi nzuri na nyororo.

Yalisababishwa na matumizi ya creme fulan hiv ya tube kwa kweli uso unatisha kwa madoa.

Msaada wenu madokta.


CHUNUSI++3.jpg
 
Weka picha tukuone ili tuweze kukushauri vizuri. Lakini ujue ndio sura ulokuwa unataka hiyo. Mungu kakupa sura wewe unamkosoa. Hongera kwa kuwa na sura mpya.
 
Weka picha tukuone ili tuweze kukushauri vizuri. Lakini ujue ndio sura ulokuwa unataka hiyo. Mungu kakupa sura wewe unamkosoa. Hongera kwa kuwa na sura mpya.

ndugu
unyanyapaa haujengi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom