Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Sikwamba vipodozi ndivyo vinaletelezea hizo madude..! Mtu mweupe sasa hizo vipodozi za nini?
 
Tumia sabuni ya carambola na mafuta ya ingrams comphor cream(the skin doctor) ya south africa yanapatikana kwenye maduka makubwa ya vipodozi hata kwenye pharmacy kubwa pia utayapata yapo kwenye kopo la kijani..unapaka makavu hivohvo kama yalivo bila kuchanganya na kitu chochote pia kwa sasa usitumie poda wala make up aina yoyote mpaka uso wako utapokua vizuri..tumia carambola herbal soap na ingrams comphor cream morning and evening daily kwa muda wa mwez mmoja then ulete mrejesho.
 
Last edited:
Ohooo mashikoro mageni ndo kwanza nakaona hapa, ukiniachia hako utakuta nimekaweka mdomoni kama toothpick make sijui kazi yake #ndiowasukumatulivyo

Ha ha.......kakubwa hako......kapo kama koroshea no 6.....(kama unajua koroshea lakini)........
 
acha kula kiepe na vyakula vya mafuta wakati wa kulala osha uso kwa maji ya vuguvugu usipake make up maana wadada wa kibongo wanalala wakiwa na make up....acha kutumia vipodozi.

NB: UWE UNAKUNYWA MAJI MENGI SANA
 
acha kula kiepe na vyakula vya mafuta wakati wa kulala osha uso kwa maji ya vuguvugu usipake make up maana wadada wa kibongo wanalala wakiwa na make up....acha kutumia vipodozi.

NB: UWE UNAKUNYWA MAJI MENGI SANA

Unataka kusema tunalala na make up ili asubuhi tuamke poa au........? ......unajua huo ni uchokozi........
 
Unataka kusema tunalala na make up ili asubuhi tuamke poa au........? ......unajua huo ni uchokozi........
Nimeshuhudia wadada wengi sana wanalala na make up kisha asubuhi anajiosha na kujipaka tena...nilishangaaa sana nilijaribu kuhoji wanasema wanapaka ili asubuhi aamke uso usiwe kama bondia
 
mimi ni mtaalamu wa magonjwa ya ngozi, hilo tatizo ni dogo sana wala usiwe na shaka. NINAWEZA NIKAKUSAIDIA.
na ndani ya week 6 ukawa okay
 
Ila hospitali hakunaga dawa ya chunusi ni ushauri tu namna ya kukeep ngozi vizuri labda matatizo mengine ya ngozi ndio dawa zipo
Yes ni kweli hakuna,ila ni vizuri kwenda kwanza kujua tatizo lake linasababishwa na nini,maana pengine ni la ndani kwahiyo hata atumie vipodozi na dawa gani litabaki vile vile,mfano mimi huwa nasumbuliwa na chunusi nyakati fulani sababu ya hormonal imbalance yaani hata nitumie nini huwa haviishi,so kikubwa ni kujua tatizo na namna gani ya kukabiliana nayo.
 
Nimeshuhudia wadada wengi sana wanalala na make up kisha asubuhi anajiosha na kujipaka tena...nilishangaaa sana nilijaribu kuhoji wanasema wanapaka ili asubuhi aamke uso usiwe kama bondia

Ha ha......hakuna lolote.......kutokujiamini tu.......Sasa mtu wa hivyo ukimkuta hajapaka make up unaweza kimbia.........
 
Ha ha......hakuna lolote.......kutokujiamini tu.......Sasa mtu wa hivyo ukimkuta hajapaka make up unaweza kimbia.........
Hizi make up wadada muwe mnapeana elimu basi jinsi na muda wa kuapply
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom