pia kwa sasa avoid kujipaka makeup na cream, ogea sabuni ya mbuni + kula maparachichi mengi na matangoNenda sauna utoe sumu mwilini na fanya mazoezi kwa wingi utoe jashoo lingiii kuruhusu mwili kupumua na maji mengiiii kwa muda flani alafu ndo umconsult skin specialist
Hapo kwenye juice ya Limao ukishapaka unaiacha au unainawa baada ya muda?kutoa Madoadoa yaliyosababaishwa na Chunusi
![]()
Mahitaji
Unga wa Riwa
Maji ya Rose (Rose water)
Maji safi ya kawaida
Limao
Mafuta ya Zaituni (Olive oil)
Hatua ya Kwanza
Chukua unga wa Riwa na Maji Rose uyachanganye pamoja na ukoroge hadi mchanganyiko wako uwe mzito.
Hatua ya Pili
Upake mchanganyiko wako katika sehemu yenye makovu na uache hadi ukauke. Unaweza kukaa na huu mchanganyiko huu kwa muda mrefu ila inategemea na nafasi yako pia, mchanganyiko huu unasaidia kunyonya mafuta na kuacha ngozi kavu.
Hatua ya Tatu
Nawa vizuri na maji ya uvuguvugu.
Hatua ya Nne
Paka Juice ya Limao kwenye sehemu yenye makovu. Juisi ya limao inatumika kama brichi ya asili ambayo husaidia kufifisha madoadoa na kuondoa makovu kwenye ngozi .
Hatua ya Tano
Paka mafuta ya Olive kwenye makovu, hii husaidia kulainisha ngozi na kufanya makovu yasionekane kirahisi.
Mambo ya kuzingatia
Wakati unaanza kufanya tiba hii jaribu kuacha kutumia aina ya vipodozi vya kemikali ulivyokuwa unatumia na utumiea hii tiba ya asili isiyo na madhara. Jaribu kufanya zoezi hili walau mara mbili kwa wiki ndani ya mwezi mmoja utaona matunda yake.
Unaiacha............Hapo kwenye juice ya Limao ukishapaka unaiacha au unainawa baada ya muda?
acha kula vyakula vya mafuta kabisa kwa wiki kma tatu kwanza kunywa maji kabla ya msosi wako wowote na asubuh unywe maji glass moja tu
navyoomaanisha uache kula vyakul vya mafuta acha kabis we kula vitu vya chemsho hata wali ukipiki basi vikombe viwil kijik kimoj am serious achan na vyakula vya mafuta
Pole sana. Endelea usikate tamaa. kama utakwenda hospital ukimwona specialist wa ngozi na dawa hazitakusaidi nitafute nikupe ushauri mwingine ujaribu njia nyingine. Lakini kwa sasa nashauri usitumie tena hizo chemicals kwa pengine hazikupendi.Yu
Yummie, Asante sana. Ni kweli, sijaupumzisha uso huu