Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Wow am so happy for u dear keep on moving if u need a food timetable let me know I know u will make it to the kilo u need nimefurahi kusikia taarifa hizi nzuri

yeah my ''winnysammy'' food timetable muhim kuijua,maana huo uji wa cabbage ni hatar hauna test kabisa,vile vile nina vidonda vya tumbo.asante sana sana ''mungu atakulipa dunian na ahera''
 
Ushauri wangu:
Usiku (kuanzia 11 jioni) usile: ugali, wali, ngano, ndizi na nafaka yeyote, pia usinywe chai, kahawa, bia (pombe).
Usiku kula: matunda na jitahidi kupata yasiyo na sukari sana kama ndizi mbivu, kula mboga za majani kwa wingi. Kama ipo siku una njaa kula hata nyama/samaki tani ----. Pia maji safi ya kunywa. Achana na hayo ma juice ya madukani.

Asubuhi na mchana kula vyakula kama kawaida na usibague saana vyakula, pia maji mengi bila kusahau mazoezi.
Baada ya mwezi njoo uposti matokeo hapa
 
Ushauri wangu:
Usiku (kuanzia 11 jioni) usile: ugali, wali, ngano, ndizi na nafaka yeyote, pia usinywe chai, kahawa, bia (pombe).
Usiku kula: matunda na jitahidi kupata yasiyo na sukari sana kama ndizi mbivu, kula mboga za majani kwa wingi. Kama ipo siku una njaa kula hata nyama/samaki tani yako. Pia maji safi ya kunywa. Achana na hayo ma juice ya madukani.

Asubuhi na mchana kula vyakula kama kawaida na usibague saana vyakula, pia maji mengi bila kusahau mazoezi.
Baada ya mwezi njoo uposti matokeo hapa
 
Ushauri wangu:
Usiku (kuanzia 11 jioni) usile: ugali, wali, ngano, ndizi na nafaka yeyote, pia usinywe chai, kahawa, bia (pombe).
Usiku kula: matunda na jitahidi kupata yasiyo na sukari sana kama ndizi mbivu, kula mboga za majani kwa wingi. Kama ipo siku una njaa kula hata nyama/samaki tani yako. Pia maji safi ya
kunywa. Achana na hayo ma juice ya madukani.[/COLOR
Asubuhi na mchana kula vyakula kama kawaida na usibague saana vyakula, pia maji mengi bila kusahau mazoezi.
Baada ya mwezi njoo uposti matokeo hapa


asante ntafuata hii maana hiyo supu ya cabbage ni hatar waweza pata kwashakooo kabisa Hayajamani
 
Last edited by a moderator:
me nimepata 29.8
una overweight fanya juu chini ucontral uzito koz usipozingatia hatua inayofata ni Obesity ambayo kwa kawaida inakaribisha zaidi ya magonjwa 10.

Zipo njia nyingi unazoweza kutumia kupunguza uzito lakini ambayo kwangu imefanya kazi utatakiwa kubadilisha mtindo wa maisha kwa siku 10, uwe tayari kubadili mfumo wa ulaji, jinsi ya kulala na kuamka, uingie katika system ya mazoezi kwa dk 20 kila siku kwa siku zote 10.

Gharama;

Nunua Skimmed Milk au Lowfat milk uwe nayo litre 5.
Programu hii inahitaji msosi wa nguvu wa nguvu xo unatakiwa ujiandae.
Nunua mita ya kupimia urefu
ANDAA NA HELA YA KUPUNGUZIA NGUO KWANI ZOTE ZITAKUPWAYA BAADAYA DOZI.
DOZI HII INAUWEZO WA KUPUNGUZA MPAKA KILO 10
VYAKULA TU NDIO VINATUMIKA HAKUNA KIDONGE

UKIWA YAYARI NITUMIE UNENE WAKO NA UMRI

WELLCOM
 
yeah my ''winnysammy'' food timetable muhim kuijua,maana huo uji wa cabbage ni hatar hauna test kabisa,vile vile nina vidonda vya tumbo.asante sana sana ''mungu atakulipa dunian na ahera''

Dear i will Write it Down and send to u nimebanwa Kodogo na shughuli bt i promise i will send
 
una overweight fanya juu chini ucontral uzito koz usipozingatia hatua inayofata ni Obesity ambayo kwa kawaida inakaribisha zaidi ya magonjwa 10.

Zipo njia nyingi unazoweza kutumia kupunguza uzito lakini ambayo kwangu imefanya kazi utatakiwa kubadilisha mtindo wa maisha kwa siku 10, uwe tayari kubadili mfumo wa ulaji, jinsi ya kulala na kuamka, uingie katika system ya mazoezi kwa dk 20 kila siku kwa siku zote 10.

Gharama;

Nunua Skimmed Milk au Lowfat milk uwe nayo litre 5.
Programu hii inahitaji msosi wa nguvu wa nguvu xo unatakiwa ujiandae.
Nunua mita ya kupimia urefu
ANDAA NA HELA YA KUPUNGUZIA NGUO KWANI ZOTE ZITAKUPWAYA BAADAYA DOZI.
DOZI HII INAUWEZO WA KUPUNGUZA MPAKA KILO 10
VYAKULA TU NDIO VINATUMIKA HAKUNA KIDONGE

UKIWA YAYARI NITUMIE UNENE WAKO NA UMRI

WELLCOM

nina kilo 83 na nina miaka 20
 
Pole sana mwanajamii. Tatizo la kupunguza unene limekuwa gumu kwa walio wengi kutokana na ugumu wa masharti ya kufuata ambayo yanatakiwa katika hatua za kupunguza unene mfano kwenda geam, kujizuia kula nk. Pia wapo ambao wanaweza kufuata masharti lakini bado hawapungui kwa namna wanavyotaka. Mimi ningependa kutoa ushauri huu mzuri wa kuweza kupunguza kilo kuendana na unavyopenda mwenyewe bila kufuata masharti kwa kutumia tu lishe iliyoandaliwa kiasilia na kufanyiwa utafiti wa muda mrefu na kuonekana kuwa na mafanikio mazuri sana katika kujenga afya. Fuatilia hii lishe muhimu kwa ajili ya kupunguza uzito.

MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;

  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum
Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;

  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid
Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ------ na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.

  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM

  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo

CORDY ROYAL JELLY

Bidhaa hii imetokana na mmea wa cordy ceps sinensis na Royal jelly.
Royal jelly – Inatokana na chakula maalum cha malkia wa nyuki.

FAIDA ZA CORDY ROYAL JELLY

  • Ina vitamin A,B,C,D,E na K ni chakula kilichokamilika.
  • Inaondoa cholesterol
  • Inaimarisha mfumo wa damu mwilini.
  • Ina faty Acid
  • Inaongeza nguvu na kutoa uchovu na kutoa sumu mwilini
  • Inakufanya usizeeke haraka(anti aging)
  • Kulainisha ngozi na kufanya ngozi kuwa nzuri
  • Inafanya damu kuwa nyepesi
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Kuweka kiwango cha mafuta na cholesterol sawa.
  • Mafuta yaliyoganda kuzunguka moyo na kwenye mishipa ya damu huyeyusha na kulainisha mishipa ya damu.

GOLDEN SIX

Golden Six imetokana na mimea sita(six golden herbs) inamaanisha mimea sita yenye thatmani.

Golden six inahusika na sehemu zifuatazo;

  1. Mishipa ya hisia
  2. Figo
  3. Kuinua kinga ya mwili na kinga ikiwa nyingi kwenye mwili inasaidia uroto kwenye mifupa(born marro), ndiyo inatengeneza cell za mwili.
  4. Inapunguza kasi ya kuzeeka kwa kuondoa madhara ya uzee.
Utendaji kazi wa Golden six;

  • Golden six ina kinga kubwa kwenye mwili, ukiitumia vizuri inakwenda kusawazisha kinga kwenye mwili.
  • Inarutubisha uroto kwenye mifupa nah ii hutengeneza chembechembe nyeupe za damu kwa haraka.
  • Golden six inasafisha figo kwa kuipa nguvu ya kusafisha damu, kuondoa sumu mwilini kama vile uric acid.

Uric acid ikiwa kwenye viungo husababisha kuumwa kwa viungo.

  • Kuhisi uchovu
  • Kutokwa na jasho sana
  • Kuumwa sehemu ya chini ya mgongo na pia kukosa usingizi.
Inapunguza kasi ya kuzeeka kwa kuondoa madhara ya uzee mfano;

  • Kupoteza kumbukumbu
  • Kutoona vizuri
  • Misuli kukosa nguvu
  • Chembechembe za mwili kufa kwa haraka
  • Inajenga mishipa ya hisia na kuondoa matatizo ya kupooza
  • Kwa waliopooza na kuathirika kwenye mdomo (mdomo kupinda) katika mazungumzo inawasaidia na kurekebisha mazungumzo yao.

FAIDA ZA GOLDEN SIX

  • Stroke(kupooza)
  • Kukosa usingizi
  • Kupoteza kumbukumbu
  • Kuumwa na viungo
  • Kusafisha damu
  • Husaidia presha ya kupanda inayosababisha mishipa kubana hii hutokana na aina Fulani ya Adrino gland ambayo hutoa kemikali, husababisha kubana kwa mishipa ya damu.
  • Matatizo ya wanawake na ukomo wa wanawake

Yeyote anayehitaji msaada zaidi labda kutaka kuuliza au ushauri anaweza kunipigia kupitia namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama za MAGILIM ni Tsh. 62500/-, CORDY ROYAL JELLY 68000/- na GOLDEN SIX 38000/-

so hiyo unatumia maisha yako yote?kama ni mara moja si nitanenepa tena
 
so hiyo unatumia maisha yako yote?kama ni mara moja si nitanenepa tena

Lengo la mtu ni kutaka kupunguza uzito. Mtu akipunguza uzito haitakuwa rahisi kwake kukubali kunenepa tena. Akijiachia kama awali kwa vyovyote lazima atanenepa tena na lipo wazi kabisa
 
Ladies and Gents.......,

I think that all moms and dads, wasichana na wakaka should have tryn to this crazy thigs, yet very effective yaani

Leo ningependa kuwapa siri yangu niliyoitumia kupunguza baadhi ya sehemu ya mwili wangu kupitia body wrap.

BODY WRAP ni nini? - ni aina ya urembo utakao sababishia kupungua kwa vipimo vya mwili na kutakasika ngozi.

Sasa basi body wrap mara nyingi hufanyika spa saloon au nyumbani ila mimi nitazungumzia jinsi ya kufanya nyumbani

MAHITAJI:-

-Epsom salt, Aloe vera liquid, plastic wrap, bandage na cellulite lotion na vitu vyote hivi vinapatikana pharmacy au supermarket

ESSENTIAL OIL:- Juniper oil, lemon oil, vetiver and niaouli oil.

MATAYALISHO:-

-Chemsha maji vikombe 3 then yaipue
-Add kikombe kimoja cha Epsom salt huku ukikologa
-When salt is dissolve, add nusu kikombe cha aloe vela
-Add ESSENTIAL OIL matone 3 kila moja
Then changaya mchangayiko wako na uweke tayari kwa kujipaka.

Sasa kabla ya kujipaka unatakiawa kutayalisha mwili wako au targeted area unazotaka zipungue,unatakiwa kufanya hivi:

Oga vizuri kwa maji ya moto ili ku open poses za mwili na usitumie sabuni
Anza wa kufanyia mwili massage au target area zako kwa kutumia Almond oil, hapa kuna angalizo mwanamke mfanyie massage mumeo angalau dk 20 usiache aende kufanyiwa saloon




Nitaendelea.....
 

Attachments

  • C360_2014-04-11-09-21-01-631.jpg
    C360_2014-04-11-09-21-01-631.jpg
    153.1 KB · Views: 441
  • C360_2014-04-11-08-46-14-863.jpg
    C360_2014-04-11-08-46-14-863.jpg
    128.1 KB · Views: 537
  • C360_2014-04-11-09-18-08-960.jpg
    C360_2014-04-11-09-18-08-960.jpg
    70.9 KB · Views: 448
Back
Top Bottom