Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Naanda makala ya usuluhisho wa mada hii bilashaka itakua muarobaini wa tatizo
 
Kwe suala la vitambi TUELEWANE apa kuna vitambi vya aina 2 moja cha ugonjwa na kingine cha starehe sasa ushaur ule wa kafanya Mazoez kupunguza vyakula vya wanga unawafaa wale wa vitambi vya starehe hawa ndio wataweza kupunguza kitambi lakin hii aina ya kitambi cha ugonjwa ata ufanye Mazoez kias gan upunguze vyakula vya mafuta + sukari utapungua kwa asilimia chache sana ukiacha Mazoez wiki moja ngoma inarud pale pale.. Sasa hiki kitambi cha ugonjwa kuna dawa za kienyej kukiondoa lakin hiki kitamb cha starehe fuata ushauri wa kitaalamu fanya Mazoez zingatia lishe bora (diet) maji kwa wingi n.k n.k
 
Kuna mitishamba asili hawezi kuwa kibonge ukinywa maji yake tosha ...0744903557 tanga
kima mtishamba ndo ulimfanya mtu kuwa kibonge basi utamfanya kurudia mwili wake wa awali ka sivyo basi kilichomfanya kuwa bonge ndicho kitamrudishia mwili wake wa awali, kupungua si kaziii mtu anaweza kupata dawa za kuarisha then akapungua ila hatoweza kubaki hapohapo
 
Kwe suala la vitambi TUELEWANE apa kuna vitambi vya aina 2 moja cha ugonjwa na kingine cha starehe sasa ushaur ule wa kafanya Mazoez kupunguza vyakula vya wanga unawafaa wale wa vitambi vya starehe hawa ndio wataweza kupunguza kitambi lakin hii aina ya kitambi cha ugonjwa ata ufanye Mazoez kias gan upunguze vyakula vya mafuta + sukari utapungua kwa asilimia chache sana ukiacha Mazoez wiki moja ngoma inarud pale pale.. Sasa hiki kitambi cha ugonjwa kuna dawa za kienyej kukiondoa lakin hiki kitamb cha starehe fuata ushauri wa kitaalamu fanya Mazoez zingatia lishe bora (diet) maji kwa wingi n.k n.k
mkuu kupungua si tatizo tatizo ni kumaintain, hiyo helimu ndo tunaiuza tena kwa hela mbayaa. Ukitaka kupungua kwa haraka tunakupa dawa za kuarishaa mara mbili tatuu then unakuwa kama mimii ila wikii tatu nyingi usharudia ubonge wako.Vitambi na ubonge vyote ni matokeo ya ulaji mbaya haijalishi unakula ninii ama. Hiyo elimu ya kuwa unapopataka ndo tunaiuza tena kwa pesa mbayaa sana na ndo biashara kwasasaa
 
mkuu kupungua si tatizo tatizo ni kumaintain, hiyo helimu ndo tunaiuza tena kwa hela mbayaa. Ukitaka kupungua kwa haraka tunakupa dawa za kuarishaa mara mbili tatuu then unakuwa kama mimii ila wikii tatu nyingi usharudia ubonge wako.Vitambi na ubonge vyote ni matokeo ya ulaji mbaya haijalishi unakula ninii ama. Hiyo elimu ya kuwa unapopataka ndo tunaiuza tena kwa pesa mbayaa sana na ndo biashara kwasasaa
Nazungumzia aina za vitambi boss
 
Hivi unapunguzaje kitambi kwa kunywa whisky ?!

Watu hampo serious na afya zenu. Control ulaji wako. Ingia katika adjustment diet kisha ukisha balance mambo yako then maintain maisha yako na balanced diet.
 
Jamani kuna ndugu yangu anateseka sana na kitambi amejaribu kunywa whisky za aina yote akiamini atapunguza kitambi jawabu -ve...kwenu wapendwa...afya bora kwa kila mtanzania...
Usijali kuna mazoezi madogo anayotakiwa kufanya bila kifaa chochote bila hata kwenda gym. Bofya link hapa chini utapata video za mazoezi anayotakiwa kufanya, Kila zoezi sekunde 45.
 
nipo tayari kufanya mazoezi mazito ila sio kuacha kula vitamu vitam

imagine kitimoto na balimi mbili za baridiiiiii na bebebeibe kwa pemben.


sasahivi kila usiku na alfajir napiga push up 100 napumzika kidogo napiga tena 100.nikimaliza nanyanyua gym mara 50.nikimaliza nakunywa maji mengi.


baada ya hapo chakula ntakula mchana (wali kidogo na mchicha)

ikifika usiku sasa msosi ntakaokula mungu ndie anajua.ukinikuta nakula utajisemea huyu jamaa mlafi
 
nipo tayari kufanya mazoezi mazito ila sio kuacha kula vitamu vitam

imagine kitimoto na balimi mbili za baridiiiiii na bebebeibe kwa pemben.


sasahivi kila usiku na alfajir napiga push up 100 napumzika kidogo napiga tena 100.nikimaliza nanyanyua gym mara 50.nikimaliza nakunywa maji mengi.


baada ya hapo chakula ntakula mchana (wali kidogo na mchicha)

ikifika usiku sasa msosi ntakaokula mungu ndie anajua.ukinikuta nakula utajisemea huyu jamaa mlafi
Mkuu utakuwa baunsaa
 
Kitambi ni msosi na mazoezi tu, ila tatizo watu wanafanya mazoezi ila hawabadili ulaji wao mwisho wa siku wanabaki pale pale hata kuongezeka zaidi.

  • Fanya mazoezi (tembea, kimbia, ruka ruka)
  • Kula mboga mboga na supu zake
  • Kunywa juisi hasa jioni na asubuhi

NB: Usishinde njaa, kula kiasi chakula wastani
 
mazoezi bila diety nzuri ni sawa na kujaza tenga maji. Maana wapoa ambao maisha yao tu ni mazoezi kwa wale mudamwingi wapo ofisini na hawana shughuli nyingi za kutumia nguvu mazoezi kwao ni muhimu zaidi ya kundi la kwanza. ULAJI ULAJI NDIO KILA KITU MENGINE TUTAJAZIA
 
Back
Top Bottom